Wanawake na suruali

Vipi mama na bibi zetu walioshindwa kufuata mfumo wa kutembea maziwa wazi na kufunika tupu zao na magogo na ngozi,unawazungumziaje wao?
 

Umalaya ni kuvaa suruali??toka lini au umalaya ni wewe na tamaa zako?unazoom makalio ya watu ili iweje??😕
 

Ni kweli AMELAANIWA YOYOTE ATAKAYEVAA VAZI LISILOWIYANA NA JINSIA YAKE!Mafundisho haya yanapatika ktk dini inayotafsri maumbile ya mwanadamu kwa usahihi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…