Wanawake na promise zao

Wanawake na promise zao

Kwa kweli ata mimi silielewagi maana demu akikuambia dk 10 mwanaume lazima dk 5 uko stand by sasa demu akupe promise kama ni 4 asubuhi basi ni saa 11 jioni
kuwa mpole ukishakula mziggo tupa kule
 
Mother nature anacontrol population kwa kuwafanya wawe hivyo na pia ili kuleta mvuto na thaman.Jaribu kuangalia hata kwa viumbe vingine.Kiumbe kike chochote huwa hakitaki kirahisirahis kukutana na dume.
Kama nmekuelewa hivi
 
Mkuu imenitokea leo mm,nilihaidiana na demu kuwa anakuja,nmeongea naye toka jana mchana,akaniambia kuwa tutaongea jion ya jana,bt kila nkipga cm na kutuma sms hata hapokei,yan nmekeleka sana,ila poa tu,coz nnampenda ngoja nchukulie poa tu,one day yes.
 
Back
Top Bottom