Wanawake na promise zao

Wanawake na promise zao

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
15,859
Reaction score
36,172
Wadau,

Hakuna kitu kinakera kama mtu mnakubaliana siku fulani na muda fulani mnaonana alafu yeye hatokei, unapiga simu hazipokelewi wala sms hazijibiwi.
Hivi wanawake huwa mnawazaga nini kupotezea watu muda, kama huna nia ya kuoanana na mtu why udanganye.

Kuna wakati hii hali ilikuwa inanipa shida sana, ila siku hizi huwa siziweki hizi ahadi kichwani. Msichana akinambia anakuja siku fulani hata siumizi kichwa kabisa, naendelea na ratiba zangu nyinginezo.
 
Haya mambo ukiweka kichwa chote huko utakuwa disappointed mno.....jitahidi kuwa wastani...hautakuwa na chakupata wala cha kupoteza.
 
Wadau hakuna kitu kinakera kama mtu mnakubaliana siku fulani na muda fulani mnaonana alafu yeye hatokei, unapiga simu hazipokelewi wala sms hazijibiwi!
Hivi wanawake huwa mnawazaga nini kupotezea watu muda, kama huna nia ya kuoanana na mtu why udanganye!!

Kuna wakati hii hali ilikuwa inanipa shida sana, ila siku hizi huwa siziweki hizi ahadi kichwani.. Demu akisema akinambia anakuja siku fulani hata siumizi kichwa kabisa, naendelea na ratiba zangu nyinginezo!!

mhm...utakuwa huna hela ndio maana hawajitokezi
 
Itakua una mwambia akija kitatokea nn ndo maana,

wewe mwambie aje achukue zawadi nunua kama viatu au pochi, halafu aje avifate geto
 
Wanawake wa dodoma hao uku dar wanaishim sana appointment
 
Mother nature anacontrol population kwa kuwafanya wawe hivyo na pia ili kuleta mvuto na thaman.Jaribu kuangalia hata kwa viumbe vingine.Kiumbe kike chochote huwa hakitaki kirahisirahis kukutana na dume.
 
Itakua una mwambia akija kitatokea nn ndo maana,

wewe mwambie aje achukue zawadi nunua kama viatu au pochi, halafu aje avifate geto
Teh teh hilo nalo neno
 
Wadau hakuna kitu kinakera kama mtu mnakubaliana siku fulani na muda fulani mnaonana alafu yeye hatokei, unapiga simu hazipokelewi wala sms hazijibiwi!
Hivi wanawake huwa mnawazaga nini kupotezea watu muda, kama huna nia ya kuoanana na mtu why udanganye!!

Kuna wakati hii hali ilikuwa inanipa shida sana, ila siku hizi huwa siziweki hizi ahadi kichwani.. Demu akisema akinambia anakuja siku fulani hata siumizi kichwa kabisa, naendelea na ratiba zangu nyinginezo!!
Pole broh!
Inaonekana umetoka kusubirishwa mda u
 
ungekuwa nazo za kutosha usngekuwa walalamika bwana
Mkuu sijalalamika.. Soma vizuri.. siwezi lalamika kwa jambo dogo kama hili, huwa sivunji ratiba zangu completely, ikitoea huwa napotezea tu na kuendelea na mambo mengine..
Ila kipindi cha nyuma ilikuw ikinipa shida sana ila siyo sasa!!
 
Mkuu sijalalamika.. Soma vizuri.. siwezi lalamika kwa jambo dogo kama hili, huwa sivunji ratiba zangu completely, ikitoea huwa napotezea tu na kuendelea na mambo mengine..
Ila kipindi cha nyuma ilikuw ikinipa shida sana ila siyo sasa!!
si uwafate mkuu au tuma tax?au nauli jua kali eti
hivi na jua hili hapa dar kweli mtu upuyange toka mbagala unamfata mwanaume tegeta jamani? tuoneeni huruma sisi ni dhaifu wewe si umfate?
 
si uwafate mkuu au tuma tax?au nauli jua kali eti
hivi na jua hili hapa dar kweli mtu upuyange toka mbagala unamfata mwanaume tegeta jamani? tuoneeni huruma sisi ni dhaifu wewe si umfate?
Ha ha ha kupuyanga tena?
Sasa kama simu hapokei wala sms hajibu nitamfata na kumkuta wapi!?
 
Back
Top Bottom