Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,943
Reaction score
23,883
Hivi huwa mnahisi hao mnaowachamba ktk status updates zenu au fb posts wanasoma...

Okaayy...

Labda kuna mpuuzi umuvurugana nae... Then should we all know...!??

UnakutA tu mtu tanngu asubuhi anakushirikisha masahibu yake.. Like....

..... Mtasema sanaa....

..... Mungu yupo namiii.....

Mtaongeza nyingine..

Sasa umeulizwa.. Pumbavu. Si upambane tu na hali yako..

Ntarudi.
 
Umenena sahihi kabisa, huwa sielewi lakini nafikiri ni uelewa mdogo juu ya matumizi ya hii mitandao ya kijamii, huenda huyo anayemsema anatumia simu ya tochi
 
Hamna kitu nachukia kama mtu anayeweka profile picture ya "vijembe" au whatsup status. Hata kama hanichambi Mimi.

Nikiwa nime save namba yako siku nikaona umeandika maneno ya ajabu ajabu, kama vile majungu majungu huwa naifuta ili nisione.

Ni ushamba na utoto na ulimbukeni.

Halafu subiri...! Inamaana na katika hili umeona wanawake tuu ndiyo huwa wanaweka hizo status za kijinga? Wanaume hawaweki? Au umemaanisha za wanawake tuu ndiyo zinakera? Za wanaume ni asali????????
 
Hamna kitu nachukia kama mtu anayeweka profile picture ya "vijembe" au whatsup status. Hata kama hanichambi Mimi.
Nikiwa nime save namba yako siku nikaona umeandika maneno ya ajabu ajabu, kama vile majungu majungu huwa naifuta ili nisione.
Ni ushamba na utoto na ulimbukeni.
Halafu subiri...! Inamaana na katika hili umeona wanawake tuu ndiyo huwa wanaweka hizo status za kijinga? Wanaume hawaweki? Au umemaanisha za wanawake tuu ndiyo zinakera? Za wanaume ni asali????????
Wanaume hatuwekeani status za vijembe ukitaka kumchana mtu tunaendaga direct DM
 
Yani kuna raia kupitia status zao wanazoweka huko mitandaoni na kwenye wasup zao unajua kabisaa hali anayopitia kwa wakati huo,.huna haja ya kumuuliza kwa jinsi alivyojidadavua,.hasa mahusiano yao yakienda mrama😂😂😂woii utamsikia mtu "kwa hilo hujanikomoa nimempata mwingine natanua" lol😝😝😝
 
Halafu mara nyingi wanaowekaga hizo status za kutupiana vijembe whatsapp wengi wao ni wale ambao wanaandikaga maneno kama mm, ww, ss, xx, umekura, umerara, umeludi, umelizika, et al

Kwanza mimi mtu akiandika maneno kama hayo kuna namna ambavyo huwa namchukulia hata kama kiuhalisia hayuko hivyo ninavyomchukulia na akitamka maneno kama hivyo (hayo manne ya mwisho) ndo kabisaaaaa
 
kuna X wangu mmoja kichaa sana, ni siku kadhaa zimepita amemtishia mwenzie eti anaweza tembea na baba ake mzazi aendeleze jeuri hahahaha
 
Hamna kitu nachukia kama mtu anayeweka profile picture ya "vijembe" au whatsup status. Hata kama hanichambi Mimi.

Nikiwa nime save namba yako siku nikaona umeandika maneno ya ajabu ajabu, kama vile majungu majungu huwa naifuta ili nisione.

Ni ushamba na utoto na ulimbukeni.

Halafu subiri...! Inamaana na katika hili umeona wanawake tuu ndiyo huwa wanaweka hizo status za kijinga? Wanaume hawaweki? Au umemaanisha za wanawake tuu ndiyo zinakera? Za wanaume ni asali????????
Why ufute namba? mute status
Tajiri hanuniwi.

Yeah ni kweli sio wanawake tu sikuhizi wanaume nao hawapo nyuma; mfano ni type za kina diamond bingwa wa mipasho na bado watu wanampongeza kwa mipasho yake na wapo wengi tu, si kina Dada pekee, sijui ndio mambo ya haki sawa kwa wote
 
Back
Top Bottom