Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,848
- 2,741
Early in the morning, the boobs man strikes!!!
Nitakamata hela kweli leo??
usijali, badilisha njia
ikiwezekana rudi na uliyojia nayo, ukazunguke upande mwingine
Early in the morning, the boobs man strikes!!!
Nitakamata hela kweli leo??
Bro ina maana hujawahi kuona manyonyo ya mabinti?au hujawahi kuyanyonya? tena waangalie wale bongo muvi wanavyoyaweka mpaka aibu wajamen mzee kifimbo siku izi wapi yuponaomba kujuzwa hasa hawa mabinti ni kwa nini kabla hawajazaa matiti yao huwa hawataki kutuonesha tuyaone ila wakisha zaa utaona anatoa mbele za watu anaanza kumyonyesha mtoto, je ina maana wakisha zaa matiti yao hayana thaman tena? tujuzane jamani
sikatai mtoto kunyonya lakini mbona wazazi wetu zamani akitaka kumyonyesha mtoto alikuwa anajisitiri na kanga au kitenge huwezi kumuona anavyonyesha hata siku moja,lakini unakuta mama ametoa ziwa ananyonyesha mtoto kweupe ziwa lote nje