Wanawake na matiti yao...

Wanawake na matiti yao...

Chungu cha bibi

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
525
Reaction score
166
Hivi kwa nini watoto wa kike
wakisha zaa huwa hawaya thamini
matiti yao??? .. Jana hv wakati
nipo kwenye gari kuna dada
mmoja hv akatoa titi lake akawa
anamyonyesha mtoto wake .. Mi
nilikaa nae siti moja nikamwambia
dada ingekuwa vizuri ungemfunika
na baby show au hata na kanga
hizo sio vizuri maana sisi
wanaume tumeumbwa tofauti
wengine wakiona matiti tu hali
inakua mbaya afu wengine pia
tunaona kinyaa kuona maziwa
hayo mtoto anayonyonya .. Daah
basi yule mdada alinikataa jicho
hilooo Yani Obtuse angle kisha
akanipiga msonyo huuuuoo
sijawahi usikia .. Aah ilinibd
nishuke kituo kinachofuata ...

Eti wanawake jamani kwanini hamthamini matiti yenu baada ya kuzaa.
 
Hivi kwa nini watoto wa kike
wakisha zaa huwa hawaya thamini
matiti yao??? .. Jana hv wakati
nipo kwenye gari kuna dada
mmoja hv akatoa titi lake akawa
anamyonyesha mtoto wake .. Mi
nilikaa nae siti moja nikamwambia
dada ingekuwa vizuri ungemfunika
na baby show au hata na kanga
hizo sio vizuri maana sisi
wanaume tumeumbwa tofauti
wengine wakiona matiti tu hali
inakua mbaya afu wengine pia
tunaona kinyaa kuona maziwa
hayo mtoto anayonyonya .. Daah
basi yule mdada alinikataa jicho
hilooo Yani Obtuse angle kisha
akanipiga msonyo huuuuoo
sijawahi usikia .. Aah ilinibd
nishuke kituo kinachofuata ...

Eti wanawake jamani kwanini hamthamini matiti yenu baada ya kuzaa.

Tabu iko wapi? Huo ndio utamaduni wetu waafrika kwa sehemu kubwa. Kwa tamaduni zingine bora akuonyeshe ndutu aka papuchi kuliko ziwa.
 
hee juzi kuna mtu kaja hapa "ooh wanawake hawanyonyeshi watoto wanalia hovyo kwenye daladala"
wewe unakuja na yako ooh hatuthamini matiti .....nyie watu hamna jema? hebu mtuwache tulale eboooh!!

Anaanisha atleast mkiwa mnanyonyesha muwe mnafunika kidogo.. Sio kuacha wazi kila mtu akaona. I hope hapo utakua umeelewa nw.. Si ndio eeeh..
 
Hivi kwa nini watoto wa kike
wakisha zaa huwa hawaya thamini
matiti yao??? .. Jana hv wakati
nipo kwenye gari kuna dada
mmoja hv akatoa titi lake akawa
anamyonyesha mtoto wake .. Mi
nilikaa nae siti moja nikamwambia
dada ingekuwa vizuri ungemfunika
na baby show au hata na kanga
hizo sio vizuri maana sisi
wanaume tumeumbwa tofauti
wengine wakiona matiti tu hali
inakua mbaya afu wengine pia
tunaona kinyaa kuona maziwa
hayo mtoto anayonyonya .. Daah
basi yule mdada alinikataa jicho
hilooo Yani Obtuse angle kisha
akanipiga msonyo huuuuoo
sijawahi usikia .. Aah ilinibd
nishuke kituo kinachofuata ...

Eti wanawake jamani kwanini hamthamini matiti yenu baada ya kuzaa.

Tunayathamini sana. Wewe tu Sema ugojwa wako uko kwenye hayo matiti.

Nyie ndo Namba moja kwenye gari Mtoto akilia utasikia, " dada si umnyonyeshe Mtoto au si wako?" Kosa langu ni lipi sasa Nikitimiza wajibu wangu kwa Mtoto ili asilie.

Kwanza Uende mzazi katembea mda mrefu Mtoto analia kafika kwenye hiace anaona ampe Mtoto haki yake, sasa amwache aendelee kulia wakati nyonyo IPO?!!
 
Sasa kipi bora. Huyo unayeliona moja wakati ananyonyesha tuu au yule unayeyaona yote wakati anatembea barabarani? Maana kuna mavazi mengine wanayovaa dada zetu kifua chote kipo nje.
 
Tabu iko wapi? Huo ndio utamaduni wetu waafrika kwa sehemu kubwa. Kwa tamaduni zingine bora akuonyeshe ndutu aka papuchi kuliko ziwa.

utamaduni unabadilika lakini mbona hatuvai magome ya miti.kwanini asijifunike na kanga
 
Ujinga mtupu, asinyonyesha mtoto kisa tamaa zako za kishetani kupita maelezo, nyonyesheni watoto kila wanapohitaji kwa afya zao na zenu.

sijakataza kunyonyeshaa ila kuna nguo za kujistilii sio kila mtu haone vinyonyesheaa vyake.
 
ila si sahihi kunyonyesha mtoto bila kujisitiri,, ndo maana kuna bebishoo, funika .
Kuna mabinti wamejaaliwa.
 
Kwani lazima uangalie??si ungekaa busy na simu yako au kingine chochote!
Wanaume mnapenda sana umwinyi.
 
Back
Top Bottom