mimi mume wangu hata kumwongelesha kwa sauti ya juu sidhubutu hata kama hajaniudhi ,the way he is respected utajiona mjinga wewe mwenyewe.
Umenikumbusha j2 iliyopta mke wangu wa ndoa alinifokea sn na kunitukana sn tena kwa sauti kubwa mbele ya mtoto wetu.Anayeingia grade 7 this year.!NILIJISIKIA VIBAYA SN,NIKATOKA HAPO HOME NA KWENDA BAR NIKITAFAKARI NAMNA ALIVYONIDHARIRISHA..!
Hivi huwa mnajisikiaje unapomfokea mume wako kama mtoto mdogo tena mbele za watu? halafu utakuta mwanaume kanywea kama kalowa maji, inasikitisha sana ndoa za sasa hivi hazina tena mwanamke kumuheshimu mume.
nimesema hivyo nikiwa na maana kwamba tafuta hela................punk! kwanza how do you know dada ako tumempeleka huko ama?
Si ndiyo maana kasema atarudi kuclaim what she thinks is rightfully hers,
Money ndiyo kila kitu,asikuambie mtu,!!!ukiona unaanza kufokewa ovyo na mkeo ujue uchumi wako ndiyo chazo,chakarika uone kama utafokewa ovyo,..Hakunaga,!!!
Walahi lala 1 ukinipiga konzi, usiku sikugegedi...! Chezea mie wewe?KUNYA ANYE KUKU AKINYA BATA KAHARA!!!!!!!!!!? Mbona nyie mnatufokea? Na wewe mwanaume kwanini ufanye JEURI na KIBURI hadi ufokewe??????????? Mnaboa saa zingine!Ila mwanaume tafuta PESA sanaaa! Money cant buy you happines but it can spare you the drama and unecesary shame like this. Ukizingatia uko broke unamtegemea mkeo! Haloooooooo! Uapigwa hadi makonzi nini kufokewa!