Wanawake na kuwafokea waume zao

Wanawake na kuwafokea waume zao

Ndoa ni kuheshimiana,mume amheshimu mkewe na mke amheshimu mumewe.
 
KUNYA ANYE KUKU AKINYA BATA KAHARA!!!!!!!!!!? Mbona nyie mnatufokea? Na wewe mwanaume kwanini ufanye JEURI na KIBURI hadi ufokewe??????????? Mnaboa saa zingine!

Ila mwanaume tafuta PESA sanaaa! Money cant buy you happines but it can spare you the drama and unecesary shame like this. Ukizingatia uko broke unamtegemea mkeo! Haloooooooo! Uapigwa hadi makonzi nini kufokewa!
ndo maana im very proud to be Chagga man aka cornman!
 
Mi huwa nasema Wanawake wazuri wote walishaolewa yamebaki Manungayembe yanahangaika tu. Mjini hapa yaliyobakia ni makahaba wapenda pesa tuu kwa sasa, na ukioa mmoja wapo haya lazima yakukute. Sio ndoa za sasa majanga, Wanawake wa sasa majanga.

Hebu mkuu naomba ututajie mwaka wa gani hadi mwaka gani kulikuwa na wanawake wa ukweli...

Au labda wanawake walioanza kuzaliwa mwaka gani na kuendelea ni manungayembe?
 
Hivi huwa mnajisikiaje unapomfokea mume wako kama mtoto mdogo tena mbele za watu? halafu utakuta mwanaume kanywea kama kalowa maji, inasikitisha sana ndoa za sasa hivi hazina tena mwanamke kumuheshimu mume.

dah, huruma sana, hiyo ndoa haina heshima
 
sasa wee unataka mke hakuheshimu wakati yeye na wewe mlishindwa heshimu miili yenu wakati wa uchumba kwa kugegedana.

tuwe makini lakini tunapochagua wake

bonge la point, heshima inajengwa kwa matendo yenu. Haiombwi wala kulazimishwa.
 
stock-vector-woman-scolding-husband-retro-clipart-illustration-105629840.jpg
13645033-couple-in-quarrel-wife-scolding-her-husband-isolated-on-white-background.jpg
woman-scolding-man-215b754.jpg
 
KUNYA ANYE KUKU AKINYA BATA KAHARA!!!!!!!!!!? Mbona nyie mnatufokea? Na wewe mwanaume kwanini ufanye JEURI na KIBURI hadi ufokewe??????????? Mnaboa saa zingine!

Ila mwanaume tafuta PESA sanaaa! Money cant buy you happines but it can spare you the drama and unecesary shame like this. Ukizingatia uko broke unamtegemea mkeo! Haloooooooo! Uapigwa hadi makonzi nini kufokewa!

Wewe ni "mwanamke hila si mke".huna vigezo vya kuwa mke.wanawake ndio matatizo ktk ndoa za sasa!
 
Labda akiwa mjamzito ndiyo nitamruhusu anifanyie hivyo, vinginevyo atajuuta kunifahamu!
 
Mwanaume wa hovyo hovyo na mzinifu ndiyo huwa anafokewa maana Mke kajua udhaifu wake!

Mme anayetimiza majukumu yake ndani ya ndoa;mme kichwa cha familia na ambaye frequently hukaa chini na Mke wake kupanga issues zao HAWEZI fokewa wala fokea!

Exactly!
 
Heshima ni lazima iwe EARNED! Haiji kwa vile tunavaa suruale na p.u.m.b.u 2!
Iwe earned kwa namna gani? Be a real man! A real man is who? Lara na baadhi yetu hapo juu tushaeleza!
 
ukiona mwanaume anafokewa na mkewe mbele za watu na katulia tuli, ujue tayari amepoteza heshima yake na haki yake ya kuwa kichwa ndani ya nyumba! Hakuna kitu kinachonikera kama mwanaume kushindwa kujitambua kwa kujua wajibu wake ndani ya nyumba ya kuwa yeye ndiye mkuu wa familia na anapaswa kuiongoza, kuihudumia na kuitunza familia yake.

Baadhi ya vijana wa sasa wamepoteza sifa hii muhimu, na kujikuta wameacha suala la kuitunza familia na kuilinda kubaki kwa akina mama, na hivyo wamama waliochoshwa ambao pia hawajui waume zao wana nafasi gani ndani ya familia kuamua kuwadharau na kuwaweke waume zao level moja sawa na watoto wao.

Nakerwa na hizo tabia za hao wanaume, nakerwa pia na wanawake wenye hizo tabia za kuwafokea waume zao mbele za watu!
shikamoo kaka yangu heri ya x-mass na mwaka mpya mungu aendelee kukutunza kaka.miss u sana
 
hivi huwa mnajisikiaje unapomfokea mume wako kama mtoto mdogo tena mbele za watu? Halafu utakuta mwanaume kanywea kama kalowa maji, inasikitisha sana ndoa za sasa hivi hazina tena mwanamke kumuheshimu mume.
mimi mume wangu hata kumwongelesha kwa sauti ya juu sidhubutu hata kama hajaniudhi ,the way he is respected utajiona mjinga wewe mwenyewe.
 
kaka/wadogo zangu, kuweni makini sana ktk kuchagua mke wa kuoa....
sio mnakurupuka tu eti kwa sababu ni mzuri, angalieni na tabia, ohoooo!!!!!!!!! shauri yenu!!!!!!!!!!!!
utaikimbia nyumba mchana kweupeee!!!!!!!!!!!!!!!!!

tena wanawake wazuri sana ndo wanaongoza kwa kuwafokea fokea waume zao...
 
mazingira,malezi,kampani,vichocheo,k.m.bange,pombe etc,,,hutoa products za aina hiyo
 
Hivi huwa mnajisikiaje unapomfokea mume wako kama mtoto mdogo tena mbele za watu? halafu utakuta mwanaume kanywea kama kalowa maji, inasikitisha sana ndoa za sasa hivi hazina tena mwanamke kumuheshimu mume.

Kama mwanaume ni Bushoke lazima afokewe
 
KUNYA ANYE KUKU AKINYA BATA KAHARA!!!!!!!!!!? Mbona nyie mnatufokea? Na wewe mwanaume kwanini ufanye JEURI na KIBURI hadi ufokewe??????????? Mnaboa saa zingine!

Ila mwanaume tafuta PESA sanaaa! Money cant buy you happines but it can spare you the drama and unecesary shame like this. Ukizingatia uko broke unamtegemea mkeo! Haloooooooo! Uapigwa hadi makonzi nini kufokewa!
Halafu mwenzio akichoka na kuamua kukumwaga, hukawii kurudi kwa mchozi na magoti... Maana wengine huwa wanafoka huku hawana mbele wala nyuma.
 
Halafu mwenzio akichoka na kuamua kukumwaga, hukawii kurudi kwa mchozi na magoti... Maana wengine huwa wanafoka huku hawana mbele wala nyuma.

Hahahaaaaaaa! Akhaa! Kama UNA MPUNGA WAKO, akiondoka KAKUPUNGUZIA ZIGO! Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi. Ukiona NIMERUDI labda KATOKA KIMAISHA!!!!!!!!! Na hapo sirudi coz nimejuta au nampnda na kuona umuhimu wake, la hashaaa! NARUDI KUJICOMPASATE NA KU CLAIM WHAT IS RIGHTFULLY MINE!!!!!!!!!!!

We ushaona mwanaume kafilisika fili,afu mkewe katoka kimaisha akarudi kumuomba msamaha? Thubutuuuuuuuu!
 
mazingira,malezi,kampani,vichocheo,k.m.bange,pombe etc,,,hutoa products za aina hiyo
Waliolelewa na masingo parenti na wa familia ya watoto wote kumi wa kike tuu... Halafu ukute hao wakike kumi wamelelewa na mama pekee... Ndo utajuta... Full lara 1...
 
Hahahaaaaaaa! Akhaa! Kama UNA MPUNGA WAKO, akiondoka KAKUPUNGUZIA ZIGO! Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi. Ukiona NIMERUDI labda KATOKA KIMAISHA!!!!!!!!! Na hapo sirudi coz nimejuta au nampnda na kuona umuhimu wake, la hashaaa! NARUDI KUJICOMPASATE NA KU CLAIM WHAT IS RIGHTFULLY MINE!!!!!!!!!!!

We ushaona mwanaume kafilisika fili,afu mkewe katoka kimaisha akarudi kumuomba msamaha? Thubutuuuuuuuu!
Vipi akitajirika tajiiiiii... Utarudi kwa magoti na machozi..???
 
Back
Top Bottom