Wanawake na kuwafokea waume zao

Wanawake na kuwafokea waume zao

Wewe ni "mwanamke hila si mke".huna vigezo vya kuwa mke.wanawake ndio matatizo ktk ndoa za sasa!

mwenyewe NDOA MZIGO SIZITAKI!!!!!!!!!! Ndoa inatakiwa mwanamke UKAJIPUMZISHE UHUDUMIWE sio kujiwika misalaba kumi kumi kukomaa a jiji. Akhaaaaaaaaa!

Kama definition ya kuwa mke ni kubeba mizigo ya kiuchumi, NIMEJIVUA GAMBA, waolewe tu, mi nitakuwa small house.

Mke unatakiwa UTUNZWE na obliation zko zisiexceed CHUMBANI, KUZAA na KULEA. Baaaaaaaaaaaaaasss!
 
ndo maana im very proud to be Chagga man aka cornman!
Lazima uwe praudi... Si mnawaachaga kwa baba zenu...!!! Kwa hiyo kama kufokewa wanafokewa baba zenu Disemba hadi Disemba.... Kwa baba zenu wanafokewa mara mbilo, na mama zenu halafu na wake zenu...
 
Umenikumbusha j2 iliyopta mke wangu wa ndoa alinifokea sn na kunitukana sn tena kwa sauti kubwa mbele ya mtoto wetu.Anayeingia grade 7 this year.!NILIJISIKIA VIBAYA SN,NIKATOKA HAPO HOME NA KWENDA BAR NIKITAFAKARI NAMNA ALIVYONIDHARIRISHA..!
 
Vipi akitajirika tajiiiiii... Utarudi kwa magoti na machozi..???

Hahahaaaa! MAGOTI TUUUUUUUUUU!!!!!!!!!!!!! Are you kidding me? NITARUDI NAJISONTA KWA TUMBO NAKUJIGALAGAZA MIGUUNI KWAKE KWA UCHUNGU ZAIDIYA WAMZAZI NAFANYA TOBA ZOTEEEEEEEEEEE DUNIANI. Hata kutembelea kucha ikihitajika nitatembelea. Chezea MONEY MISS ROAD.

Ile si 1 day show tu ambayo ina GOLDEN KEY TO MY HAPPILY EVER AFTER FUTURE!!!!!!!! Naperform kindakindaki hadi watu wanakubali nabidi nisamehewe! Chezea kunyanganywa tonge mdomoni!

ITS NEVER ABOUT WHAT YOU WANT TO DO BUT WHAT IS REQUIRED TO BE DONE TO WIN.
 
mimi mume wangu hata kumwongelesha kwa sauti ya juu sidhubutu hata kama hajaniudhi ,the way he is respected utajiona mjinga wewe mwenyewe.
Wewe inaonekana unatamani sana kumfokea, ila kinachokutisha ni hashima aliyonayo mbele za watu... Wake kama wewe mkiwa chumba ndo mnashikaga hadi visu maana unakuwa ushakusanya ufokaji mlipokuwa kwa watu
 
Hahahaaaa! MAGOTI TUUUUUUUUUU!!!!!!!!!!!!! Are you kidding me? NITARUDI NAJISONTA KWA TUMBO NAKUJIGALAGAZA MIGUUNI KWAKE KWA UCHUNGU ZAIDIYA WAMZAZI NAFANYA TOBA ZOTEEEEEEEEEEE DUNIANI. Hata kutembelea kucha ikihitajika nitatembelea. Chezea MONEY MISS ROAD.

Ile si 1 day show tu ambayo ina GOLDEN KEY TO MY HAPPILY EVER AFTER FUTURE!!!!!!!! Naperform kindakindaki hadi watu wanakubali nabidi nisamehewe! Chezea kunyanganywa tonge mdomoni!

ITS NEVER ABOUT WHAT YOU WANT TO DO BUT WHAT IS REQUIRED TO BE DONE TO WIN.

Kama kabla ya kutimuliwa ulikuwa unayafanya hayo, nitasamehe, ula kama ndo mapya, kisa nimetajirika, yaani nakukatisha viuno halafu baada ya hapo kwenuuuuuu
 
Waliolelewa na masingo parenti na wa familia ya watoto wote kumi wa kike tuu... Halafu ukute hao wakike kumi wamelelewa na mama pekee... Ndo utajuta... Full lara 1...

Weeeeeeeeee Komaaaaaaaa! Mimi nina baba bandidu siwezi kumjibiza kama navowajibu nyinyi. Na huu ubandidu nimrithi copy right. Na hatuko 10 babu wee, wazazi wangu waliona NYOTA YA KIJANI.

Ukomeeeeeeee kabisaaa kunifananisha na hao Watu, cause wazazi wangu wazee wa kanisa jue, what i have become is my own doing.
 
Lazima uwe praudi... Si mnawaachaga kwa baba zenu...!!! Kwa hiyo kama kufokewa wanafokewa baba zenu Disemba hadi Disemba.... Kwa baba zenu wanafokewa mara mbilo, na mama zenu halafu na wake zenu...
nimesema hivyo nikiwa na maana kwamba tafuta hela................punk! kwanza how do you know dada ako tumempeleka huko ama?
 
Kama kabla ya kutimuliwa ulikuwa unayafanya hayo, nitasamehe, ula kama ndo mapya, kisa nimetajirika, yaani nakukatisha viuno halafu baada ya hapo kwenuuuuuu

WHAT MAKES YOU THINK I WILL LEAVE YOU ALONE N LET YOU REST IN PEACE WHILE ENJOYING YOUR NEW FOUND FORUNE????????????????????

Thubutuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!! Utanikuta MALANGONI KWAKO KILA SIKU ASUBUHI NIMEPIGA MAGOTI.

Kunisamehe is NOT AN OPTION!
 
wewe inaonekana unatamani sana kumfokea, ila kinachokutisha ni hashima aliyonayo mbele za watu... Wake kama wewe mkiwa chumba ndo mnashikaga hadi visu maana unakuwa ushakusanya ufokaji mlipokuwa kwa watu
umenielewa vibaya sina tabia za ufokaji mimi kelele yangu utaisikia tu mtoto anapoleta ujinga darasani ila siwezi mfokea mume wangu namheshimu sana hata kama atanikosea bora ninyamaze yaishe tu.
 
shikamoo kaka yangu heri ya x-mass na mwaka mpya mungu aendelee kukutunza kaka.miss u sana
Marahaba, Nashukuru sana, Happy new year too kwako na kwa familia kwa ujumla! Tumepoteana mno, sijui tatizo ni nini! :A S 13:
 
hivi tujiulize sisi tuliyezariwa vijijini miaka ya nyuma, nani aliwahi kumuona bibi yake anamfokea babu yake? Au mama yake anamfoke baba yake?
 
Si ndiyo maana kasema atarudi kuclaim what she thinks is rightfully hers,
Money ndiyo kila kitu,asikuambie mtu,!!!ukiona unaanza kufokewa ovyo na mkeo ujue uchumi wako ndiyo chazo,chakarika uone kama utafokewa ovyo,..Hakunaga,!!!
 
hivi tujiulize sisi tuliyezariwa vijijini miaka ya nyuma, nani aliwahi kumuona bibi yake anamfokea babu yake? Au mama yake anamfoke baba yake?

Ndiyo maaana zinaitwa "enzi"
Kulikua hakuna mapochi,viatu vya Cl,mikoko,wala Ac,chezeya joti harisa we...
 
mwenyewe NDOA MZIGO SIZITAKI!!!!!!!!!! Ndoa inatakiwa mwanamke UKAJIPUMZISHE UHUDUMIWE sio kujiwika misalaba kumi kumi kukomaa a jiji. Akhaaaaaaaaa!

Kama definition ya kuwa mke ni kubeba mizigo ya kiuchumi, NIMEJIVUA GAMBA, waolewe tu, mi nitakuwa small house.

Mke unatakiwa UTUNZWE na obliation zko zisiexceed CHUMBANI, KUZAA na KULEA. Baaaaaaaaaaaaaasss!

Haloooooo,mwanamke kutunzwa babu weeee,sio kijazi
 
Mimi ndio maana huwa sipendi kutoka nae out kwa sababu ya kukosa adabu ya mdomo, potelea mbali kama kuna njemba inanisaidia kumtoa
 
umenielewa vibaya sina tabia za ufokaji mimi kelele yangu utaisikia tu mtoto anapoleta ujinga darasani ila siwezi mfokea mume wangu namheshimu sana hata kama atanikosea bora ninyamaze yaishe tu.

wewe mdada hauna mdogo wako wa kike aisee?
 
Kuna wanaume wana gubu kama dada zao,yani mawifi,muda mwingine mke anachoka inabidi aongee bila pozi wala kuremba
 
Kufokeana chumbani tu...tukitoka heshima kwanza.

Sent from my Samsung Note III using Tapatalk
 
Back
Top Bottom