Kunywa kwa kiasi nyumbani au kwenye tafrija si mbaya. Sigara si nzuri hata kwa wanaume. It isnt cool.
Wanawake wanaokunywa bar, tena wengine kaunta kabisa hawafai. Kwenye kamasutra wanaitwa public women. If u want 2 know how to consume a public woman soma kamasutra
preta upo counter ipi unakata dadii? Sema iyo wakikushika ni jela nayo imeharamishwa mana inasababisha njaa nchinileo ukinishauri nifanye starehe gani zaidi ya kuvuta sigara, sonyo, bange,kiko na kunywa tusker, valuu na madadii....naacha leo leo
kwani kuna wakuzuia?1.mimi nikiwa mwanaume sioni tatizo la mwanamke kunywa pombe
2.wengine hunywa kwa starehe wengine frustration na wengine mazoea.
3. Cha msingi ni kwa wanaume na wanawake kuwa waanagalifu wakati wa kunywa,ujue uwezo wa mwili wako, kama uwezo wako ni bia kumi na nane
18 basi usizidishe. Vinginevyo utashindwa kujimudu,unaweza kuadhirika kwa kuanza kusasambula nguo hadharani au kufanya jambo lolote la aibu. otherwise kunyweni tu dada zangu,
1.Mimi nikiwa mwanaume sioni tatizo la mwanamke kunywa pombe
2.Wengine hunywa kwa starehe wengine frustration na wengine mazoea.
3. Cha msingi ni kwa wanaume na wanawake kuwa waanagalifu wakati wa kunywa,ujue uwezo wa mwili wako, kama uwezo wako ni bia KUMI NA NANE
18 basi usizidishe. Vinginevyo utashindwa kujimudu,unaweza kuadhirika kwa kuanza kusasambula nguo hadharani au kufanya jambo lolote la aibu. OTHERWISE KUNYWENI TU DADA ZANGU,
Hive wewe hili ni jukwaa gani vile????
leo ukinishauri nifanye starehe gani zaidi ya kuvuta sigara, sonyo, bange,kiko na kunywa tusker, valuu na madadii....naacha leo leo
ushalogwa eeeh?
Huku kwangu inaonyesha ni jukwaa la Habari na Hoja. Vipi huko kwako.... hujambo!!.
preta upo counter ipi unakata dadii? Sema iyo wakikushika ni jela nayo imeharamishwa mana inasababisha njaa nchini