Gold Digger!!..... Inanifurahishaga sana hili, umekuja na Rambo!! Ukiondoka waondoka na Nyumba 2 na gari juuu. Chezeya!!!!!!!!
hahahahahahahah if u cant convince confuse ,hongera the boss ulijitahidi sana kwenye ile interview hahahahahahWewe huna hata tafsida na maneno yako?duh...lol..
Gold Digger!!
on topic: part of your observation is due to the fact that wanaume wengi hatuombi talaka, either tuna
- chukua nyumba ndogo pembeni wakati mke anaendelea na egeyn zake
- piga kibuti mke kama maji yamezidi unga
Hakuna sababu yoyote ya msingi kung'ang'ania kuendelea kuishi ndani ya ndoa ambayo imekufa, iko hai mbele za macho ya watu but ndani ya nyumba hakuna kitu.
Miaka ya sasa ukatili baina ya wandoa umeongezeka kwa kasi na hii yote ni kwa sababu ya vumilia vumilia zisizokuwa na tija.
Hakuna haja ya kusubiri mpaka mwenzi wako akuue au akufanyie ukatili wa ajabu ambao unaweza kuharibu kabisa maisha yaliyobakia.
Kama mapenzi yameisha kabisa, suluhu zimefanyika zimeshindikana. Umevumilia, Umeipigania ndoa yako iendelee kuwepo imeshindikana. Chapa zako lapa .. Ukale maisha. Kuvunjika kwa ndoa sio mwisho wa life.
People we only live onceeee only onceee .. Raha jipe mwenyeweee.
akiomba unampa si ataenda kujiuza tu wanawake wengi hawana sifa za kuolewa wakiachika mwishowake huwa wanakuwa wakugawa kwa kila anaye karibia angalieni idadi kubwa ya wathirika wa HIV ni wanawake maana wanatumia mili yao ili kujihudumia kama matumizi kumbe hawajui wanatumika kama chombo cha starehe tu
wajua pia sasa hata wanaume wananyanyaswa sana na wanawake Jesus hii inatokana na kuwezeshwa ka kila kitu ?
wajua wanaHume wanaamua kunyamaza tu sasa kuona aibu kutoa taarifa mahala husika...
wajua pia sasa hata wanaume wananyanyaswa sana na wanawake Jesus hii inatokana na kuwezeshwa ka kila kitu ?
wajua wanaHume wanaamua kunyamaza tu sasa kuona aibu kutoa taarifa mahala husika...
nadhani umesahau, naomba nikukumbushe huwa wanafanya na wanaume.akiomba unampa si ataenda kujiuza tu wanawake wengi hawana sifa za kuolewa wakiachika mwishowake huwa wanakuwa wakugawa kwa kila anaye karibia angalieni idadi kubwa ya wathirika wa HIV ni wanawake maana wanatumia mili yao ili kujihudumia kama matumizi kumbe hawajui wanatumika kama chombo cha starehe tu