Nimesema pia walio kwenye uhusiano.............Hata wewe umo!
Uhusiano? Hapa unanichanganya sasa mi bado kuanzisha uhusiano nafanya hit and run
pole kwa mafuriko.....
:focus:
hivi kwani kuishi kwenye hizo ndoa za mashaka ni lazima? kama mapenzi yameisha si basi?
kwa nini uishi kwa hofu? hata ukiachwa utakua wa kwanza?
siku zote mapenzi ni furaha (ingawa misuguano na mitihani ya "kiasi" ruksa kuwepo) lakini penzi linapoisha hisia zikiondoka nini kinakukataza kutafuta ustaarabu wako? wanawake watasingizia watoto...
ndo upigwe, utishiwe kuachwa wengine waletewe nyumba ndogo kisa?
ndoa haya sasa mtambuzi anasema wanajichongea kifo? loh
Mtambuzi hii post yako imejikamilisha mno... Hata kuongeza kitu inakua ngumu, Most ya uloeleza nakubaliana nayo kua ni kweli. Thou as time goes on type ya wanawake wa namna hio inapungua katika jamii... Mabinti wengie wameanza kutojali saana ndoa zao.... Sad. Or should I say Lucky them kwa kujitambua sasa....
Hii taasisi ya ndoa hii pasua kichwa sn!mie bado nipo nipo kwanza!sitaki stress bora kuwa single maisha yote nikiwa happy!
mmh kweli yan wanawake weeengi dunian wanasuffer kwa strees n depression had huruma yan
ila mmh title yako kali niliogopa mmh.