Wanawake na hili mnasubiri wanaume tuandamane?

Wanawake na hili mnasubiri wanaume tuandamane?

IDEGENDA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
4,492
Reaction score
5,345
Kila kona ni ushoga, viongozi wakuu ndio wanazidi kuupalilia... Kuna hatari siku za usoni wanawke wakakosa watu wa kuwaoa. Wenyewe wamekaa kimyaaaa! Hawataki hata kuandama kulipinga hili! Au wanawake mnapenda kukaa bila kuolewa? Au kushare wanaume? Je, na hili mnasubiri wanaume waandamane kama kawaida yenu?
 
Watu ambao walitakiwa walalamike ni wanawake na sio wanaume unless kama wanawake wanasagana.

Kukaa kwao kimya kunaweza kumaanisha;
1. Wanakubaliana na ushoga.
2. Na wao wanafanya usagaji (ngum kutoa kibanzi wakati wao wana boriti.
 
Yaani nyie mkubali wenyewe kuliwa kabang hlf sie tulalamike? Mtajijua wenyewe na raha zenu...
Mabata wadogo wadogo wanaogelea, wanaogeleaaaaaaa!!,, katika shamba zuri la bustaniii..... Wanalia ..........................
 
Yaani nyie mkubali wenyewe kuliwa kabang hlf sie tulalamike? Mtajijua wenyewe na raha zenu...
Mabata wadogo wadogo wanaogelea, wanaogeleaaaaaaa!!,, katika shamba zuri la bustaniii..... Wanalia .......................... Jana nilikuwa naangalia isidingo nikaona wanapromote ushoga na kuanzia sasa siitaki hata kuisikia
 
yani nyie ndo mjigeuze wanawake alafu mimi huku nipige kelele.... haku wantumiaji wa mashoga ni wanaume wenyewe mtajiju ...
 
yani nyie ndo mjigeuze wanawake alafu mimi huku nipige kelele.... haku wantumiaji wa mashoga ni wanaume wenyewe mtajiju ...

Siku ukimkuta mumeo anapumuliwa/anampumulia mtu kisogoni a.k.a kuliwa/kula kaabang utaandamana kurudi kwenu mwenyewe.
 
Haya sasa kuanzia sasa hivi marufuku kulalamika hooo hatuwaoi, wanaume wanaotarajia kuwaoa ndio hao wanakuwa mabinti na ninyi mnachekelea tu..
 
Watu ambao walitakiwa walalamike ni wanawake na sio wanaume unless kama wanawake wanasagana.

Kukaa kwao kimya kunaweza kumaanisha;
1. Wanakubaliana na ushoga.
2. Na wao wanafanya usagaji (ngum kutoa kibanzi wakati wao wana boriti.

ni kweli mkuu lkn mi naona bora wanawake wanaosagana siku anaweza kubadilika lkn sio mwanaume ni aibu...
 
Siku ukimkuta mumeo anapumuliwa/anampumulia mtu kisogoni a.k.a kuliwa/kula kaabang utaandamana kurudi kwenu mwenyewe.

siandamani naangalia what he have? je inaniaaffect kiuchumi ? kama ni hapana basi namwacha tu aendelee kula upuuzi wake...
 
Hata wanawake wakipiga kelele vipi kama mtu akiamua kuwa shoga atakuwa tu, kwamaana hiyo uking'ang'aniza utaolewa na shoga ama mfuata mashoga.

Wa kupinga hili ni wanaume wenyewe, sababu shoga anachukuliwa na mwanaume. Acheni kuchukua mashoga watakosa soko na wataacha.
 
Mabata wadogo wadogo wanaogelea, wanaogeleaaaaaaa!!,, katika shamba zuri la bustaniii..... Wanalia .......................... Jana nilikuwa naangalia isidingo nikaona wanapromote ushoga na kuanzia sasa siitaki hata kuisikia

Mie juzi juzi nimefuta series ya prison break baada ya kujua Michael Scofield-Wentworth Miller ni shoga.
 
Back
Top Bottom