Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Inaonekana una roho ngumu sana, hivi vitu vipo sana
Ni limbwata au uboya. Mwanaume mwenye akili za kawaida hawezi akakaa kimyaWapo wanaojua kupenda yaani mwanamke ndo anaamua kila kitu, ushawahi kuona mwanaume aliyepewa LIMBWATA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo mengine tunakua tuna uwezo nayo kabisaMie namuachia Mungu
Wakati mwingine huwa ni jaribu lako!Kuna mambo mengine tunakua tuna uwezo nayo kabisa
Unakuta ni jambo ambalo lipo ndani ya uwezo wako lakini utasikia mtu anasema namuachia Mungu,bila kufanya chochote kwa nafasi yake
Sawa MkuuWakati mwingine huwa ni jaribu lako!
Unamshirikisha Mungu mkuu akupe mlango wa kutokea!Sawa Mkuu
Kwahiyo unamaanisha ikiwa ni jaribu unatakiwa tu kumuachia Mungu?bila kutafuta namna ya kulishughulikia jilo jaribu?
Ni kweli Mkuu!Unamshirikisha Mungu mkuu akupe mlango wa kutokea!
Una uhakika sio muvi? Hivi kweli mwanaume gani alete nyama ukatupe jalalani abakie anatabasamu na kesho alete tena mweeeh...hapa mzee baba umetufunga kamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee, shuleni mi nimesoma vitabu vifuatavyo, SHIDA, KULI, NJAMA, Ngoswe penzi kitovu cha uzembe nk na vyote hivyo vimeandikwa na Watanzania.
😀😀😀😀😀😀 ULISOMA KOMBI GANI MAMAAWeee, shuleni mi nimesoma vitabu vifuatavyo, SHIDA, KULI, NJAMA, Ngoswe penzi kitovu cha uzembe nk na vyote hivyo vimeandikwa na Watanzania.
Hakuna haja ya kumlaumu huyo mwanamke,huyoo jamaa ndio alikua falaa,ingekua mimi nimeshafukuza siku nyingi mwanamke wa namna hiyoo!
Ahsante kwa chai!






Haa ha ha, halafu mi ni babu ujue?😀😀😀😀😀😀 ULISOMA KOMBI GANI MAMAA
Hakuna noumer mkuuSAMAHANI SANA JAMAA😕😕