barakamorinho1357
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 290
- 329
Nakunyoa na panga blalifuu yaan utupe nyama nliyo nunua??Una uhakika sio muvi? Hivi kweli mwanaume gani alete nyama ukatupe jalalani abakie anatabasamu na kesho alete tena mweeeh...hapa mzee baba umetufunga kamba
Sent using Jamii Forums mobile app



ndio maana nimesema ni muvi, hakuna mwanaume mwenye uvumilivu wa hiviMkipendwa pendekeniUna uhakika sio muvi? Hivi kweli mwanaume gani alete nyama ukatupe jalalani abakie anatabasamu na kesho alete tena mweeeh...hapa mzee baba umetufunga kamba
Sent using Jamii Forums mobile app


Achana na picha pata ujumbeChai nyingine hizii bhnaa!! Kwahio huyo mwanaume alikuwa wa Dar au Chato!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie wabobezi mshakufa ganzi mioyoniNa wewe dhaifu sana.
Unalia lia nini?
Kamata elimu hata shule unasomea vitabu vya wazunguAaah, nimekuja fasta nikidhani huyu mwanamke ni Mtazania, kumbe Mzungu!?
Hakuna haja ya kumlaumu huyo mwanamke,huyoo jamaa ndio alikua falaa,ingekua mimi nimeshafukuza siku nyingi mwanamke wa namna hiyoo!
Ahsante kwa chai!





mfumo dume aiseePole sana mkuuAma kweli wema hawadumu Hata mim nilishapoteza mtu ambae ni mjali wa kila hali hata kwa afya ya wazazi wangu mavazi bila ya kumuomba vocha na pesa ya matumizi hata tokea kama yeye daima ila ndo hivo tumshukuru mungu kwa kila jambo yalopita yamepita .
Muulize muvi yake inatufundisha niniUna uhakika sio muvi? Hivi kweli mwanaume gani alete nyama ukatupe jalalani abakie anatabasamu na kesho alete tena mweeeh...hapa mzee baba umetufunga kamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha
Jamaa una jazba umeoa kweli au upo hata kwenye mahusiano yasiyo rasmi? Namaanisha unaishi na mwanamke au unapiga kisela anasepa
Sister wapo aisee yaani ukiwaona kama mazezeta mi nshamuonaga livendio maana nimesema ni muvi, hakuna mwanaume mwenye uvumilivu wa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie namuachia MunguHahaha
Siyo mfumo dume Mkuu,mwanamke wa namna hiyo asiye na shukrani unaishia naye vipi Mkuu?
Mambo ya kumuachia Mungu mi siwezi!
Wapo wanaojua kupenda yaani mwanamke ndo anaamua kila kitu, ushawahi kuona mwanaume aliyepewa LIMBWATA?Nyama iletwe nikaitupe jalalani niangaliwe hivi hivi nisizabwe kibao?
Hivyo hii ndio samari ya hilo gazeti?Una uhakika sio muvi? Hivi kweli mwanaume gani alete nyama ukatupe jalalani abakie anatabasamu na kesho alete tena mweeeh...hapa mzee baba umetufunga kamba
Sent using Jamii Forums mobile app