prof.mutunga
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 341
- 60
Kwa usema kweli my wife amesafiri, tokea aondoke kila mda akipiga simu mara oh uko na mwanamke?mara aseme nisogelee tv kama ni usiku,akipiga simu labda imeishiwa moto hapo ugomvi sasa leo kapiga kupokea nikamjibu sivyo akasema uko na dem? Nkasema yes