Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,245
- 2,128
Habari zenu, najua weekend iko poa japo kwa wengine majanga tena makubwa.Naomba kila mwanamume asome na ajifunze kitu kuwa wanawake sio ndugu wala rafiki zako kamwe.
Ni hivi juzi nilipandisha uzi hapa JF kuhusu kumlalamikia jirani yangu ambaye amehamia hivi karibuni. Kuwa tangu kuhamia kwake sipati usingizi usiku kabisa. Uzi wenyewe ni huu
.
Kusema kweli huyu jirani aliyehamia amejipanga vizuri tu kimaisha ikumbukwe ni(ke) jirani.
Mkasa ulikuwa hivi, Jana mida ya jioni niko zangu home napiga workout mara nikasikia hodi mlango mkubwa nikaenda kufungua geti kuna jamaa amekuja na pikapu akanipa tano nikamkaribisha ndani/uwani.Jamaa inaonyesha hayuko sawa kabisa.Akanza kwa kuniuliza Monica yupo( si jina lake halisi) huku amekunja face nikamwambia hayupo katoka.Msubiri kama vipi basi tukawa tunapiga stori mbili tatu kuhusu maisha.
Baada ya saa moja hivi kupita Monica anakuja home na basha wake.Kufika tu Monica akashtuka kumkuta yule jamaa pale home.Basi yule jamaa aliyekuwa anamsubiri Monica akanza matusi na vurugu home pale.Jamaa"Nimekuja kuchukuwa vitu vyangu nilivyokununulia m*#*πa wewe, Jamaa akazama ndani akachukuwa TV flat screen na hometheater akapakia kwenye gari akaondoka.
Sasa leo mida hii jamaa kaja tena ila Monica na basha wake hawapo.Huyu basha wa Monica ni mjeda/mjeshi.Mi nikamkaribisha ndani akaingia ndani tukawa tunapiga stori.Jamaa akanipa mkasa mzima kuhusu huyu manzi/Monica.
Jamaa"Huyu mal*y* tumeanza mbali bro nimemsaidia vitu vingi sana.Mahusiano yetu yana miaka kama 3 hivi alikuwa mchafu tu mi ndo nimempiga msasa hadi anang'aa hivi".
Jamaa, "Nimemuhudumia vitu vingi sana yaani hata juzi nimemtumia kama laki2 na nusu.
Vitu vyote nimenunuwa Mimi kwa pesa yangu(Jiko la gesi,kabati la vyombo,kitanda+ godoro,kabati la vyombo,flat screen na vitu vingine vingi). Jamaa amekuja na gari kuchukuwa vitu vyake. Jamaa amemnunulia kiwanja na ameanza ujenzi kwa ajili ya Monica.Yaani kifupi jamaaa kavurugwa sana.
Jamani tunajitahidi kuwahurumia sana sisi hawa sana wanawake lakini hawana huruma na sisi.Tuwe makini sana wanaume wenzangu
Ni hivi juzi nilipandisha uzi hapa JF kuhusu kumlalamikia jirani yangu ambaye amehamia hivi karibuni. Kuwa tangu kuhamia kwake sipati usingizi usiku kabisa. Uzi wenyewe ni huu
Kusema kweli huyu jirani aliyehamia amejipanga vizuri tu kimaisha ikumbukwe ni(ke) jirani.
Mkasa ulikuwa hivi, Jana mida ya jioni niko zangu home napiga workout mara nikasikia hodi mlango mkubwa nikaenda kufungua geti kuna jamaa amekuja na pikapu akanipa tano nikamkaribisha ndani/uwani.Jamaa inaonyesha hayuko sawa kabisa.Akanza kwa kuniuliza Monica yupo( si jina lake halisi) huku amekunja face nikamwambia hayupo katoka.Msubiri kama vipi basi tukawa tunapiga stori mbili tatu kuhusu maisha.
Baada ya saa moja hivi kupita Monica anakuja home na basha wake.Kufika tu Monica akashtuka kumkuta yule jamaa pale home.Basi yule jamaa aliyekuwa anamsubiri Monica akanza matusi na vurugu home pale.Jamaa"Nimekuja kuchukuwa vitu vyangu nilivyokununulia m*#*πa wewe, Jamaa akazama ndani akachukuwa TV flat screen na hometheater akapakia kwenye gari akaondoka.
Sasa leo mida hii jamaa kaja tena ila Monica na basha wake hawapo.Huyu basha wa Monica ni mjeda/mjeshi.Mi nikamkaribisha ndani akaingia ndani tukawa tunapiga stori.Jamaa akanipa mkasa mzima kuhusu huyu manzi/Monica.
Jamaa"Huyu mal*y* tumeanza mbali bro nimemsaidia vitu vingi sana.Mahusiano yetu yana miaka kama 3 hivi alikuwa mchafu tu mi ndo nimempiga msasa hadi anang'aa hivi".
Jamaa, "Nimemuhudumia vitu vingi sana yaani hata juzi nimemtumia kama laki2 na nusu.
Vitu vyote nimenunuwa Mimi kwa pesa yangu(Jiko la gesi,kabati la vyombo,kitanda+ godoro,kabati la vyombo,flat screen na vitu vingine vingi). Jamaa amekuja na gari kuchukuwa vitu vyake. Jamaa amemnunulia kiwanja na ameanza ujenzi kwa ajili ya Monica.Yaani kifupi jamaaa kavurugwa sana.
Jamani tunajitahidi kuwahurumia sana sisi hawa sana wanawake lakini hawana huruma na sisi.Tuwe makini sana wanaume wenzangu
