Wanawake msibomoe ndoa/nyumba zenu kwa style hii!

Wanawake msibomoe ndoa/nyumba zenu kwa style hii!

mataka

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2011
Posts
286
Reaction score
62
Wanajf habari zenu? Naomba 2jadili jambo hili. Katika pitapita zangu kwnye ktk kutafuta mkate wa kila siku nimekuwa nikiktana baadhi ya wanaume wanalalmika kuw kwao tendo la ndoa limekuwa janga la kitaifa! Eti utakuta mke akeshabeba mimba ukifika mwez wa 7 hataki tena tendo la ndoa na akishajifungua eitha kw njia ya kawaida au kwa operation ndo basi tena. Hapo eti zaidi ya miez 2 itapita kwa kusema eti daktar kasema. Hivyo mwanaume atakosa haki hiyo takriban miez 4 na kuendelea. Wanaume hawa baadhi yao walikuw wnafikiria kusaliti ndoa zao japo mara2 kwa mwez kw kudhan labda baadhi yao wanafany makusudi au hawajui wajibu wao ktk ndoa. Je, me nauliza maswali yafuatayo, Ni muda gani sahih mwanamke mwenye mimba kuacha kufanya mapenz? Na akishajifungua kwa njia ya kawaida/operation ni muda gan sahihi anapaswa asianze kufanya mapenz? Nashkru nawatakia J2 njema.
 
Una kazi kubwa sana ya kujua maana ya ndoa na uzito wa ndoa zaidi ya tendo la ndoa na kwamba ubomokaji wa ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa

wacha kumdanganya mwenzio...kama ndoa isingekuwa tendo la ndoa basi watu wasingeona tabu mtu akicheat.
purpose nzima ya ndoa ni intimacy na love na tendo la ndoa is the ultimate forrm of expressing intimacy nd love...ndio maana lilikisudiwa kwa wanandoa tuu.
 
Wengi wanashauri endelea kupiga mzigo mpaka a month before anapokaribia kutoa kiumbe at least uongeze njia ya mtoto.Na kukamilisha ambavyo vilikuwa havijakamilika.Am out ila kwenye ishu hizi kila mtu anautaalamu na uzoefu wake so expect different idea
 
wacha kumdanganya mwenzio...kama ndoa isingekuwa tendo la ndoa basi watu wasingeona tabu mtu akicheat.
purpose nzima ya ndoa ni intimacy na love na tendo la ndoa is the ultimate forrm of expressing intimacy nd love...ndio maana lilikisudiwa kwa wanandoa tuu.
Change diaper buddy.... it has passed four hour mark

and when you do that, you will get what i mean...
 
Wewe nawe unabishanaje na watoto? Kwao cheating ni issue ya kuvua pichu tu. Hawajui hata emotional.cheating ipo na inaumiza sawia. Hawajui kama unaweza kulala na mwenza mwezi mzima na msitamane kukutana kimwili. Ugali wa shkamoo una raha yake ati, natafuta time clock nirudishe miaka nyuma.
Una kazi kubwa sana ya kujua maana ya ndoa na uzito wa ndoa zaidi ya tendo la ndoa na kwamba ubomokaji wa ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa
 
Una kazi kubwa sana ya kujua maana ya ndoa na uzito wa ndoa zaidi ya tendo la ndoa na kwamba ubomokaji wa ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa

....mkuu ka vile unapoteza pumzi yako.tu......mwache akue ayaone.......kama anadhani ni maghorofa hewala.....

Mnadhani ndo ni matarumbeta keki mc na ngono?
Kama ndoa ni ngono mbona unaweza kupata ngono bila kuoa? Tena bila kutumia nguvu kubwa.....?

Au wanadhani kubeba mimba kazi rahisi eeeh?
Si ajabu hajui hata ulezi wa mtoto ukoje......

Mleta mada, Na kama mnafikiri kuzaa rahisi especially kwa operation hebu mpasuliwe hata kidole tu ujue operation ikoje.....

Wanaume wa siku sijui wana matatizo gani....jana kuna mmoja alikuwa anajisifu alivyomf*ra mkewe kipindi mjamzito.....huyo nae unamuona ni mwanaume? Yaani hopeless kabisa


 
......inabidi wanaume kujifunza toka kwa wazee wa zamani au kuwe na man's gala kuwafunda what to expect when your expecting......emotions, changes zinazokuwepo, challenges ana jinsi ya kukabiliana nayo.....na mfunzwe malezi ya watoto pia...........ikiwezekana paternity leave iongezwe ili mjue malezi ni nini (hii ni kwa sababu tu hamwezi kubeba mimba mkaona utamu wake......), hapondo mtajua kama wanawake wanabomoa nyumba kwa style hizo au la....

 
2jadili, ktk, nikiktana, mara2, wanafany, kudhan, mapenz, j2 , sio siri uandishi wa namna hii huwa unanichefua sana, naweza nisitoe mchango wangu hata kama nilikuwa nao kwa kukereka na aina hii ya uandishi. Hebu badilikeni bwana, sio wote waliopo hapa wanapendezwa na namna hiyo ya uandishi.
 
Wengi wanashauri endelea kupiga mzigo mpaka a month before anapokaribia kutoa kiumbe at least uongeze njia ya mtoto.Na kukamilisha ambavyo vilikuwa havijakamilika.Am out ila kwenye ishu hizi kila mtu anautaalamu na uzoefu wake so expect different idea

Kwakweli umeniacha kwenye wingu hapo kwenye point ya kuongenza njia,unaiongezaje unajaribisha nawewe kuingiza kichwa? Maana sioni uwiano wa size ya mtoto na size ya uume.
 
Hivi kweli kina baba mimba mnaona rahisi sana kubeba? Mnafikiri kumejaa hewa humo ndani?
Binafsi nimetoka kujifungua wiki 10 zilizopita na bado sija recover fully ukizingatia mtoto alikuwa size ya wastani, na labour haikuwa ndefu sana.


Imagine unaombwa chakula cha usiku halafu una conditions hizi:
-miguu imevimba
-ingawa unaenda haja ndogo kila dakika 30 unasikia kama vile 90% ya kibofu bado kimejee WITH NO RELIEF WHATSOEVER
-unasikia kama vile kichwa cha mtoto kimeegemea kibofu
-mwili wote unauma huwezi kulalia mgongo wala ubavu, unaona nafuu ukikaa wima kwenye kochi angalau uweze kupata kausingizi


Kumbuka kwamba viungo vyako vyote vinasukumizwa kuenda juu na kubanana ili kuachia nafasi mimba ikue, kwahiyo kupumua nako ni shida. Hii ni list ya vitu kadhaa nilivoexperience, lakini najua wengine wanakuwaga na kichefuchefu na dalili zingine pia. Sasa niambie, hiyo hamu, au hata tuseme uwezo wa kufanya tendo la ndoa itatoka wapi??


Sasa, baada ya kujifungua, kumbuka hata mtoto akitoka njia ya kawaida lazima pachanike. Degree ya kuchanika inaanza from 1st to 4th degree. Mimi nilipata 1st degree (thank goodness!) ambayo haikuhitaji kushonwa. 2nd degree mpaka 4th lazima kushonwa. Kukupa mfano, 3-4th degree unaweza ukachanika kuanzia kwenye vagina mpaka nyuma (rectum). IMAGINE THAT! If you want to have nightmares, simply search "vaginal tearing" kwenye google images. You will want to hug your mother and apologize over and over.


One more thing, wengine inabidi wafanyiwe episiotomy ambayo ni wakati daktari anakata njia ya uzazi ili kupanua njia ya mtoto kupita na kuzuia kuchanika vibaya. Kumbuka wengine wakishonwa vibaya hili huleta tatizo pia.


Ukija kwenye upasuaji, do I even have to explain? Hicho ni kidonda. Mpaka kije kupona itachukua miezi.


Kama unavyoona, kutunga mimba ni raha, kuzaa ni shida, na kulea ni kazi nyingine zaidi. Hakuna muda muafaka wa kuacha kufanya mapenzi, yote inategemea na mama watoto. Kama hajisikii au hawezi, heshimu hilo na enjoy your time together alone (kama ni mtoto wa kwanza) because you will never have this precious time together every again.


Kuanza tena kufanya mapenzi inategemeana, lakini usitegemee kupata kitu baada ya siku chache. Tunakuwa tumechoka mentally na physically tunakuwa tunarecover.


My advice, take care of her so she can take care of your baby and eventually take very good care of you. Maisha ya ndoa si mchezo and not all about sex!!!!!




Wanajf habari zenu? Naomba 2jadili jambo hili. Katika pitapita zangu kwnye ktk kutafuta mkate wa kila siku nimekuwa nikiktana baadhi ya wanaume wanalalmika kuw kwao tendo la ndoa limekuwa janga la kitaifa! Eti utakuta mke akeshabeba mimba ukifika mwez wa 7 hataki tena tendo la ndoa na akishajifungua eitha kw njia ya kawaida au kwa operation ndo basi tena. Hapo eti zaidi ya miez 2 itapita kwa kusema eti daktar kasema. Hivyo mwanaume atakosa haki hiyo takriban miez 4 na kuendelea. Wanaume hawa baadhi yao walikuw wnafikiria kusaliti ndoa zao japo mara2 kwa mwez kw kudhan labda baadhi yao wanafany makusudi au hawajui wajibu wao ktk ndoa. Je, me nauliza maswali yafuatayo, Ni muda gani sahih mwanamke mwenye mimba kuacha kufanya mapenz? Na akishajifungua kwa njia ya kawaida/operation ni muda gan sahihi anapaswa asianze kufanya mapenz? Nashkru nawatakia J2 njema.
 
Unamega mkeo mpaka siku ya mwisho ya kwenda labor akijifungua unaanza gemu baada ya mwezi unaanza tena gemu kei inakuwa imerudi ktk hali yake
 
Mhhm kinacho takiwa ni kula tu mpaa siku anajifungua, mana inamsaidia mwanamke kuzaa bila tabu :biggrin1:
 
Jamani!jamani!jamani!tuoneeni huruma wanawake nyie wanaume kuzaa mtoto si mchezo wa mdako jamaniiii!sijui mungu afanyeje ili muujue uchungu wa kuchanika uke wakati wa kujifungua..imagine kichwa cha mtoto kilivyo kinazidi ngumi sasa kipite huko kunakooo..mmmhh!wanawake tunapata tabu tuhurumieni sio kuwanyima tunafanya makusudi.
 
Jamani!jamani!jamani!tuoneeni huruma wanawake nyie wanaume kuzaa mtoto si mchezo wa mdako jamaniiii!sijui mungu afanyeje ili muujue uchungu wa kuchanika uke wakati wa kujifungua..imagine kichwa cha mtoto kilivyo kinazidi ngumi sasa kipite huko kunakooo..mmmhh!wanawake tunapata tabu tuhurumieni sio kuwanyima tunafanya makusudi.

Poleni sana, kweli mnapitia kipindi kigumu sana.
 
wacha kumdanganya mwenzio...kama ndoa isingekuwa tendo la ndoa basi watu wasingeona tabu mtu akicheat.
purpose nzima ya ndoa ni intimacy na love na tendo la ndoa is the ultimate forrm of expressing intimacy nd love...ndio maana lilikisudiwa kwa wanandoa tuu.

Kumbe unajua lilikusudiwa kwa wanandoa mbona we unaonja onja wenzio!! lol! Uoe, utulizane.
 
Nyie mnaofanya hadi SIKU YA LABOUR, msisahahu KUTUMIA CONDOMS manake MTOTO ATAZALIWA MCHAFU KAJAA SHAHAWA MWILI MZIMA,!!!!!!!! Wageni wakija hospitali WATAGOMA KUMSHIKA ATII. Alafu kwa wazee na watuwazima ni AIBU KUBWA hiyoooo. SAWA FANYENI ILA MKINGENI MTOTO NA UCHAFU WENU LOOOOOOH!
 
Moja kati ya mambo ambayo huwa nashangaa sana ni haya...! tendo la ndoa ni haki kwa kila mmoja, ni vizuri kwa mwanamke kujua atamridhisha vp mme wake akiwa katika hali kama hizo (mimba,hedhi n.k) otherwise its more than easy kuonja nje,
Hamna haja ya kulalamika...pozi zikiwa nyingi mdogo mdogo unatafuta utaratibu pembeni then unarudi home kimyaaaa
 
Moja kati ya mambo ambayo huwa nashangaa sana ni haya...! tendo la ndoa ni haki kwa kila mmoja, ni vizuri kwa mwanamke kujua atamridhisha vp mme wake akiwa katika hali kama hizo (mimba,hedhi n.k) otherwise its more than easy kuonja nje,
Hamna haja ya kulalamika...pozi zikiwa nyingi mdogo mdogo unatafuta utaratibu pembeni then unarudi home kimyaaaa

Na ndio maana wanawake ni wengi kwa idadi kuliko wanaume, ni kweli kabisa mwanamke anapokua na mtoto mchanga wanasahau kabisa habari ya kumfurahisha mume. Sasa mwanaume ameacha ku do ukiwa mjamzito tangu una miezi7. Na baada ya kujifungua upo bize haswa! Unadhani huyu mwanaume atakusubiri huo ubize uishe? Ni wanawake wachache sana wanaoweza ku manage kumtunza mtoto na kumfurahisha mume.
 
Back
Top Bottom