Wanawake mnaopenda wanaume wenye pesa

Wanawake mnaopenda wanaume wenye pesa

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433
Naomba kuuliza swali,

Wanawake mnavyotaka kuolewa na wanaume wenye pesa na maisha yao mliskia wapi labda wanaume wanataka Broke B!tches?
 
Hatujawah kusikia popote
Tunapenda tu
Alafu na nyie mnavyotaka kuoa wanawake wazuri ukimuona katupia kapendeza unasema mke cndo huyu unadhani wanapendezeshwa na majani eeeh

Si wanapendezeshwa na kazi wanazofanya!!? watapendezEshwaje na wanaume na hajaolewa!!?
 
Hatujawah kusikia popote
Tunapenda tu
Alafu na nyie mnavyotaka kuoa wanawake wazuri ukimuona katupia kapendeza unasema mke cndo huyu unadhani wanapendezeshwa na majani eeeh

kwa io we mpaka upendezeshwe na mwanaume kupendeza mwenyewe huwezi?
ndo maana mnalia kila siku wanaume vibamia kumbe ni nyie mmekua Magunia sio Rambo tena
 
kwa io we mpaka upendezeshwe na mwanaume kupendeza mwenyewe huwezi?
ndo maana mnalia kila siku wanaume vibamia kumbe ni nyie mmekua Magunia sio Rambo tena
Yaani mtu akitaka blouse akatoe maku, akitaka sket akatoe maku, akitaka lotion akatoe maku, akitaka wigi akatoe maku, akitaka ndewele akatoe maku!! Mpaka huyo mtu anakuja kuolewa huko chin kutabaki kitu kweli!!!??
 
Pole mkuu. Hawa viumbe ndio asili yao. Hata jogoo huitia chakula mtetea na baadae ndio hufuata kupandana au jiwa dume hulisha jike ndio baadae hukubali kupandwa.
Mwisho wa siku ni kukamilsha asili ya viumbe hai kuzaa
 
Ujue mtu akiwa na pesa una uhakika wa matunzo. Aliye na mwanaume masikini nikukutwa tu ila hapendi.
Si kweli...mimi wakati nachumbia mke wangu sikujua lolote na nilitaka kumtimua alipokimbilia kwangu kabla hata sijajitambulisha kwao japo kwa barua kumbe binti alikuwa analazimishwa aozeshwe ka mdogo wake na M'bunge mmoja hivi kwa wakati ule na kwa sasa ni waziri, lakini baada ya kumdadisi vizuri akaja kunambia ukweli ikabidi niwe mpole tu maana nami sikuwa naamini katika mapenzi ya dhati kwa wakati ule.
Upendo wa dhati upo sana na ukimpata anayekupa upendo huo mpende hata kwa kujilazimisha faida yake utakuja iona mbele ya safari.
 
Si kweli...mimi wakati nachumbia mke wangu sikujua lolote na nilitaka kumtimua alipokimbilia kwangu kabla hata sijajitambulisha kwao japo kwa barua kumbe binti alikuwa analazimishwa aozeshwe ka mdogo wake na M'bunge mmoja hivi kwa wakati ule na kwa sasa ni waziri, lakini baada ya kumdadisi vizuri akaja kunambia ukweli ikabidi niwe mpole tu maana nami sikuwa naamini katika mapenzi ya dhati kwa wakati ule.
Upendo wa dhati upo sana na ukimpata anayekupa upendo huo mpende hata kwa kujilazimisha faida yake utakuja iona mbele ya safari.

Uliyosema ni kweli upendo wa bure upo ila hela ikiwepo sio mbaya
 
Back
Top Bottom