Wanawake mnaobugia miudongo mnaboa sana!

Wanawake mnaobugia miudongo mnaboa sana!

tupe uzoefu jinsi ulivyoacha mkuu. was it easy to stop that habit?

Aisee nilivoona inazidi kila siku nikaamua kuwa sasa naacha kula udongo nikaanza kupunguza rate ya kuula nikawa nikula kidogo kwa siku nikaongeza kula vitu ka dagaa vitunguu ingawa ilichukua mda nikazoea nikaacha ukishaamua moyoni sili inakoma kabusa mtu akiona inamshinda anaenda kuchoma sindano ya kuongezea madini itakoma
 
Aise hii hali inatokeaga tu unakuwa na hamu ya udongo yani kuna kipindi nisipokula kabla ya chochote au lecture sielewi mi na marafiki zangu yani shida nikasemwa wee eeh i.thank God nimeacha kula udongo aisee ukiona wanawake wanaula ujue wana tatizo

Nimepata hamu ya udongo ghafla, ngoja niufuate jikoni...uuuh

Uliacha vipi? Mi nimejikuta nnanza tu from nowhere
 
Hahaaa mtoa mada umezidisha....alikula kiroba kizima? Btw umenichoma haswaaa... Mimi sista alikuwa anakula sana udongo na mpaka kesho anakula sana tu kwa hiyo at the age of 7 na mimi nilikuwa nimeshaanza kula udongo kwa kuiga....nikajikuta nimezoea nikafikia hatua ya kuchimbua kuta za nyumba (nyumba za kule kwetu sio za hapa mjini). Kuna siku niliomba ushauri Jf doctor nikaambiwa nitumie sana dagaa. Thanx God sasa hivi nna miez mitatu sijagusa udongo japo kaham kanakuja lkn naweza kujikaza sio kama zamani nikisikia hamu naweza kukurupuka hata kitandani nikazama magengeni kusaka udongo

I envy You gal... mi nimeanza this year... kuona tu hii thread nikapata hamu... nimeenda kuuchukua jikoni roho umetulia
 
Nimepata hamu ya udongo ghafla, ngoja niufuate jikoni...uuuh

Uliacha vipi? Mi nimejikuta nnanza tu from nowhere

Ha ha Tatiana yani acha tu nilimuona shoga angu anakula nikatamani nikaanza kidogodogo si ndo nikazoea nikawa addicted kuanzia shulen hadi nusu nifukuzwe shule si mpaka chuo kununua ule mchachu nikazoea sasa nikaamua kupunguza mpaka nikaja shtukia nimeacha mana kwenye pochi ninabeba yani ni shida acha tu
 
Aisee nilivoona inazidi kila siku nikaamua kuwa sasa naacha kula udongo nikaanza kupunguza rate ya kuula nikawa nikula kidogo kwa siku nikaongeza kula vitu ka dagaa vitunguu ingawa ilichukua mda nikazoea nikaacha ukishaamua moyoni sili inakoma kabusa mtu akiona inamshinda anaenda kuchoma sindano ya kuongezea madini itakoma

good lesson. wapenda udongo mnaona eeh?
 
Ha ha Tatiana yani acha tu nilimuona shoga angu anakula nikatamani nikaanza kidogodogo si ndo nikazoea nikawa addicted kuanzia shulen hadi nusu nifukuzwe shule si mpaka chuo kununua ule mchachu nikazoea sasa nikaamua kupunguza mpaka nikaja shtukia nimeacha mana kwenye pochi ninabeba yani ni shida acha tu

Hiyo yako ilikuwa kiboko... ngoja nichukue hatua
 
He he he he...Kuna redio hapa Arusha ya Kilokole eti wanasema ni Jini Mahaba..

inawezekana sana tu. kutakuwa na ukweli fulani hapa kwani haiwezekani mtu mzima aanze kubugia udongo hiivi hivi!
 
Kuacha kula hii kitu ni kujityune tu kama ambavyo mnywa pombe au mvuta sigara anapotaka kuacha kutumia vitu hivyo, ni ngumu but ukiamua unaweza kuacha. Kwa wadada wote na wamama wanakula udongo a.k.a pemba, wawe wanakaanga dagaa haijalishi ni wa mwanza au kigoma then unachanganya na majani mabichi ya vitunguu yanauzwa sokoni, kaanga pamoja, kila unaposikia hamu ya pemba tafuna dagaa wako,na tafuna hizo dagaa kila wakati na inapobidi nakuhakikishia utaacha kula udongo


tupe uzoefu jinsi ulivyoacha mkuu. was it easy to stop that habit?
 
Back
Top Bottom