ngoja tusubiri waje watiririke wenyewe.
Aise hii hali inatokeaga tu unakuwa na hamu ya udongo yani kuna kipindi nisipokula kabla ya chochote au lecture sielewi mi na marafiki zangu yani shida nikasemwa wee eeh i.thank God nimeacha kula udongo aisee ukiona wanawake wanaula ujue wana tatizo
Itabidi elimu ya lishe iwe compulsory kuanzia std 3 kuondoa huu usumbufu. Hii kitu ni mbaya no wonder tunazaa watoto wenye akili ndogo kisa mama alikosa health food. Badala ya kucheja na kuwakasirikia wanaokula kana jamii tutafute njia mbadala ya kuwasaidia ili tuweze kupata jamii yenye kizazi cha akili nzuri.
Hahaaa mtoa mada umezidisha....alikula kiroba kizima? Btw umenichoma haswaaa... Mimi sista alikuwa anakula sana udongo na mpaka kesho anakula sana tu kwa hiyo at the age of 7 na mimi nilikuwa nimeshaanza kula udongo kwa kuiga....nikajikuta nimezoea nikafikia hatua ya kuchimbua kuta za nyumba (nyumba za kule kwetu sio za hapa mjini). Kuna siku niliomba ushauri Jf doctor nikaambiwa nitumie sana dagaa. Thanx God sasa hivi nna miez mitatu sijagusa udongo japo kaham kanakuja lkn naweza kujikaza sio kama zamani nikisikia hamu naweza kukurupuka hata kitandani nikazama magengeni kusaka udongo
hahahaha! inawezekana ndio mimi mkuu.
Mwe mim kipindi hicho nilikuwa nakula sana ubuyu wa vinto....wenye pilipili....
uliachaje? make mwanamke akianza hii kitu ni ngumu sana kuacha--ugumu wake hauna tofauti na ugumu aliopitia ray C wakati anajiandaa kuacha kubwia unga!
Wewe ni mweupe sana katika mambo ya sayansi ya afya. Tena yawezekana ndio nyie wake zenu akiwa mja mzito akatamani kande ama samaki, unamwambia hakuna kupika kande wala samaki kwa kudhani eti ni tabia mbaya ya kujiendekeza.
Kama unataka kupata scientific reasons, ungeuliza kwa wataalamu wa Afya ya wanawake ili wakupe kitu sahihi kuliko kujifanya unajua na mtu uko shallow ki hivyo. Vinginevyo labda uwe m mama ili uelewe unachokisema. Kinyume cha hapo, kwa jinsi ulivyoiweka hoja yako hapo juu, unaonekana mburura na mnyanyasaji wa wa mama. Pole.
Babu,hivi Van Gaal anaanza lini kazi Man Untd?