jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Unakuta binti unamtongoza ila mwanzo wa safari anakukataa kabisa... Unaweka pending..
Unaenda kwa mwingine unamtongoza mwingine nae anakataa vile vile . Wewe kazi yako ni kutongoza tuu yani heka heka haziishi..
Nishatongoza mabinti wengi sana kwa lengo la kuwaoa ila tabu tupu wakijua tuu unataka kumuoa anakupiga chini.. hivi shida iko wapi kwa hawa wanawake
Wanasema hakuna wanaume wa kuwaoa ila mbona sisi mnatukataa
Kwa kweli mimi ni mpole sana na mvumilivu sana , nikimfukuzia mwanamke miezi sita mfululizo haeleweki naweka pending nakua nakumbushia kumbushia ila wapi
Ni kwanini wanawake mnatukataa sisi tulio serious na maisha na tupo teyari kuwaoa?
Unaenda kwa mwingine unamtongoza mwingine nae anakataa vile vile . Wewe kazi yako ni kutongoza tuu yani heka heka haziishi..
Nishatongoza mabinti wengi sana kwa lengo la kuwaoa ila tabu tupu wakijua tuu unataka kumuoa anakupiga chini.. hivi shida iko wapi kwa hawa wanawake
Wanasema hakuna wanaume wa kuwaoa ila mbona sisi mnatukataa
Kwa kweli mimi ni mpole sana na mvumilivu sana , nikimfukuzia mwanamke miezi sita mfululizo haeleweki naweka pending nakua nakumbushia kumbushia ila wapi
Ni kwanini wanawake mnatukataa sisi tulio serious na maisha na tupo teyari kuwaoa?