Wanawake mnakwama wapi?

Wanawake mnakwama wapi?

Mie nashindwa kuelewa kabisa y watu tynaumiza vichwa na ndoa. Wengi wetu zile prerequisites za ndoa hatuna. Mlishagegedana huko alafu leo hii mwataka muingie kwenye ndoa alafu zikiwashinda mnashangaa.
Ni sawa na mtu form four kapata d ya maths alafe eti naye anataka asome pcm sii kujidanganya tuu... Hana vigezo ndio sawa na sie watu hawana vigezo vyakuingia kwenye ndoa ila basi tuu tuna force mambo.
Tugegedane tuu wajameni au vipi
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha dharau mkuu,[emoji777][emoji777][emoji35]
 
Mie nashindwa kuelewa kabisa y watu tynaumiza vichwa na ndoa. Wengi wetu zile prerequisites za ndoa hatuna. Mlishagegedana huko alafu leo hii mwataka muingie kwenye ndoa alafu zikiwashinda mnashangaa.
Ni sawa na mtu form four kapata d ya maths alafe eti naye anataka asome pcm sii kujidanganya tuu... Hana vigezo ndio sawa na sie watu hawana vigezo vyakuingia kwenye ndoa ila basi tuu tuna force mambo.
Tugegedane tuu wajameni au vipi


Aahahahahhaaa mzabzab weeh hakuna namna zaidi ya kuendelea kugegedana tuu looh.
 
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha dharau mkuu,[emoji777][emoji777][emoji35]

Sio dharau ndio ukweli. Kila taasisi ina matakwa yake. Matakwa ya ndoa ni kwamba mkutane mkiwa hamjawahi kugegeda au kugegedwa. Hiyo condition tayari wengi tulishafeli hivyo basi yafuatayo ni kulazimisha tuu.
 
Wanawake hawaelewi,mwanaume ni kama mtoto mdogo wakiweza kuishi nao kwa busara...hizi habari za vijiweni hazitakuwepo.
 
Back
Top Bottom