Wanawake mnageuka chuma ulete

Wanawake mnageuka chuma ulete

Mkuu huwajui hawa viumbe, wakiona kuna dalili ya pesa namba yako wataipata tu bila hata kukuliza na utategwa kwa kila namna kiasi kwamba kama ni mwanaume lijali sio rahisi kuchomoka
Kanuni ni ile ile mkuu..
Ukikubali kuingia kingi na Kuwakula lazima na wewe uliwe!
 
sema kuombwa ombwa 5k na 10k na wanawake wasio demu zake, usivutie mizan kwako.

kuomba inaweza kuwa once or twice sio mbaya kuombwaombwa hio ni mara nyingi yani ni kama tabia yako, so boring

Acha ubahili🤣🤣🤣🤣
 
Kanuni ni ile ile mkuu..
Ukikubali kuingia kingi na Kuwakula lazima na wewe uliwe!
Ndo maana mimi nataka tuelewane mapema pale pale on the spot anitajie bei tukimalizana geto hatujuani tena nitamtafuta nikimwitaji ila hili la kuwa mfadhili wake wa kodi, bill ya umeme, gasi, maji , vikoba n.k hapana kwa kweli
 
See u at the top

Hizi chupi ukizikenuria meno sana hupig hatua

Af mbaya zaid wanaowageda wapo
 
Ndo maana mimi nataka tuelewane mapema pale pale on the spot anitajie bei tukimalizana geto hatujuani tena nitamtafuta nikimwitaji ila hili la kuwa mfadhili wake wa kodi, bill ya umeme, gasi, maji , vikoba n.k hapana kwa kweli
Hii nzuri kaka sio mara kodi imefanyaje mwishowe mzigo hupati anakuona boya sana
 
Kama uchumi inaruhusu wasaidie, wanapitia kipindi kigumu Sana. 1
1.ajira Hakuna
2.waoaji Hakuna
3.wazazi choka mbaya walitegemea elimu ingewaondolea mizigo
 
Kama uchumi inaruhusu wasaidie, wanapitia kipindi kigumu Sana. 1
1.ajira Hakuna
2.waoaji Hakuna
3.wazazi choka mbaya walitegemea elimu ingewaondolea mizigo
Mkuu sukatai wengine story zao zinafahamika wana life gumu kidogo, mwingine kwao ushuani, mwingie kaajirilwa, mwingine anaduka sasa ndo nashindwa elewa shida nn
 
Back
Top Bottom