Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Ikitokea bahati mbaya sisi tukamaliza wakati ninyi bado mnahitaji,mnalalamika sana na kuleta dharau.Inapotokea upande wa pili wa sarafu,mwanamke kashafika kileleni halafu wewe bado unahitaji ni balaa kwani huwa hawataki kuendelea kabisa na ukilazimisha mtaishia kuumizana tu.