Wanawake mmekuwa watoza ushuru au?

Wanawake mmekuwa watoza ushuru au?

Eti Wanawake Sikuhizi Mmekuwa TRA, TRAFFIC OFFICERS, AU?

Maana mwanaume akiingia tu kwenye 18 lazima achajiwe, japo sijajua ni faini au tunalipia huduma..?!

Tena unakuta kidume unakaziwa macho balaaaa, Yaani lazima utoe, ata watani zangu wahee kale ka mtindo ka kukataa kuupokea pesa kutoka kwa mwanaume sijuhi kameishia wapi maana ilikuwa ata umlazimishe vp na kumbembeleza achukui ata kwa dawa.

Balaa Sikuhizi sijuhi ndiyo kusema kizazi cha hudangaa?
Kale ka mchezo kakutaa hela tuliacha,baada ya kuanza kula fitofu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom