KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,597
Hivi juzi nikiwa na rafiki yangu tulikutana na mwanamke akasema huyu mwanamke nina miaka 17 sijamuona tangu 90's
Walivyokutana wakasalimiana akamwambia mimi nimeona nawatoto 3,na Dada akasema nilishaolewa na watoto 4 basi tukakaa na tukapata kilaji!!
Chaajabu juzi jamaa akanipigia simu ukowapi nikamwambia nilipo akasema ahaaa basi maana mimi nipo mitaa fulani ndo namrudisha yule dada wasikuile nimemaliza" kuchuja nafaka!!"
Nikajiuliza ina maana wanawake wote wakikutana na wenziwao wa sikuhizo hupo uwezekano wakudate nao japo mlisha achana miaka kitambo??Je nini kinawasababisha wanawake kukosa moyo waujasiri wakati unajua ulishaolewa?hata kama haujaolewa siuna Boyfriend??Wanawake siwakuamini hata siku moja!
Walivyokutana wakasalimiana akamwambia mimi nimeona nawatoto 3,na Dada akasema nilishaolewa na watoto 4 basi tukakaa na tukapata kilaji!!
Chaajabu juzi jamaa akanipigia simu ukowapi nikamwambia nilipo akasema ahaaa basi maana mimi nipo mitaa fulani ndo namrudisha yule dada wasikuile nimemaliza" kuchuja nafaka!!"
Nikajiuliza ina maana wanawake wote wakikutana na wenziwao wa sikuhizo hupo uwezekano wakudate nao japo mlisha achana miaka kitambo??Je nini kinawasababisha wanawake kukosa moyo waujasiri wakati unajua ulishaolewa?hata kama haujaolewa siuna Boyfriend??Wanawake siwakuamini hata siku moja!