Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,398
Naomba nikusalimu........
Mbona we waleti yako haisomeki na mimi sio Shemeji yako!!!!!!!!
Kwasababu dada hawezi kuwa shemeji.
Naomba nikusalimu........
Mbona we waleti yako haisomeki na mimi sio Shemeji yako!!!!!!!!
Sasa si ni afadhali wanawaomba au mlitaka wakatafute kwa wanaume wengine?
Kwasababu dada hawezi kuwa shemeji.
Nani tena?, I see utaibua hali ya taharuki!!.Naomba nikusalimu........
Mbona we waleti yako haisomeki na mimi sio Shemeji yako!!!!!!!!
Hahah mkuu naona unampigia mbuzi gitaa ili asakate rumba.
Siku hizi kama wallet haisomi hawa warembo utabakia kuwaita mashemeji.
Nimecheka, eti mara simu imeingia maji teh teh teh!!
Mimi huwa nikipiga stori na m'mama, halafu eti hata mbunyenge sijapiga anaanza please recharge me huwa na delete namba hapohapo halafu namuweka kwenye reject calls, pambafu!!!.
Ati? Skulimet sijakuona Brazil Pub opp na Kibo complex...!
Hawa wademu wanafikiri pesa zinaokotwa au?, yaani hata kuonana bado anataka laki mbili!!,Nlishawahi kuchat na kadem facebook. Hata hatujaonana kakataka nikaongezee laki mbili za kodi ya nyumba. Nikaambia kanipe namba yake ya simu. Nikampasia jamaa yangu akakagegeda wakati mimi nikiblock account yake!!