Wanawake mlijue hili kuhusu wanaume

Wanawake mlijue hili kuhusu wanaume

Manteeq

Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
14
Reaction score
6
Poleni kama itawauma ila i just have to say it. Okay that been said...
Umeanza uhusiano na mwanaume, umemkuta anakazi yake nzuri tu. Lakini yeye kuwa na kazi isiwe sababu ya mizinga kila kukicha...
Umemkuta ana kazi, that means ana malengo yake, kama kiwanja, kujenga, gari n.k, na mshahara mara zote huwa hautoshi, wewe unaingia into the picture, mara Vocher, simu imeibuwa sijui imeingia maji ukiwa unafua, mara ada sijui ya nn, nyumbani sijui kuna tatizo gani, hapo hapo akuvalishe, saluni seriously...we have our own problems n plans to worry about. Tena unataka anunue gari, awe na nyumbana, atafanyaje hivyo vitu kama you keep on interfering with his budget...
Please girls be considerate for christ sake...ndo hapo we unaona umemuambo hela ndogo tu yeye anamind...you don't know mshahara wake au hata budget yake ya kwenda kazini na kurudi kila siku ikoje, kama ana wadogo zake wa kuwa somesha...we ukinyimwa unanuna tuuu...this is real fu%&@ck up...
 
Sawa. Wamekusikia. Lakini usitarajie mabadiliko. Wanawake ndivyo walivyo.
 
Hahah mkuu naona unampigia mbuzi gitaa ili asakate rumba.

Siku hizi kama wallet haisomi hawa warembo utabakia kuwaita mashemeji.
 
bora ulipoongea,yani unaamua kua na mtu kila kukicha anaku charge cost!!sasa si bora uende tu kwenda Kona bar kama kununua kijulikane kimoja
Becoming too dependent mnatufukuza wanaume!!
 
Hahah mkuu naona unampigia mbuzi gitaa ili asakate rumba.

Siku hizi kama wallet haisomi hawa warembo utabakia kuwaita mashemeji.

ha HA HA HAAA, shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
poleni.....

nikimwangalia mtoto wangu wa kiume....natamani awe padri.......

ntaanza kumwombea kuanzia sasa.....
 
You need to know how to productively handle your resources. Wanawake kila siku wapo na ukiona uliyenaye yuko hivo,elewa kuwa ni gold-digger, formula inasema hivi: Kula mzigo then kimbia mbio nyingi sana kabla malengo na mipango haijaharibika kwa sbb ya huyo mpuuzi,tafuta polepole anayekufaa ambaye sio mwizi na tapeli wa mjini.
 
bora ulipoongea,yani unaamua kua na mtu kila kukicha anaku charge cost!!sasa si bora uende tu kwenda Kona bar kama kununua kijulikane kimoja
Becoming too dependent mnatufukuza wanaume!!
bora uwe mtawa wa kujitegemea kwa muda.....mpaka Mungu atakapokujalia kupata mke.....kuliko hayo maisha ya kununua.....
 
Kama hutak hayo yote chagua kuoa a serious woman mshirikiane kupata hivyo vyote ama ukajichukulie wa 1000 utapunguza gharama za maisha....
 
Yaani ni kero...mwanaume umejipanga unasema ss natulia na huyu...ehh majanga kudadadeki zao...:banghead:
 
Mna hasira kaka zangu,,,, tatizo huwa mnatongoza kwa mikwala mpaka binti anajua kampata bill gate wa bongo!!!!!!! ukiona mizinga imezidi kaa single mpaka utakapopata mke au tafuta asie na gharama kubwa.
 
Tina...kwangu mm nasema wasichana wana miss undersrand mtu kuwa vizuri na wakujibeba...mtu unakazi, unausafiri...hakuna haja ya kujibeba...wao wakishaona hivyo wanaona ndo sehemu ya kuchuna wakati mtu bado unamipango...unaanza nae vizuri na umeweka malengo mazuri kuwa ndo atakuwa mamaa...ehh...sijui anapandwa na nn...
 
I agree with tinna. Wanaume unakujaga na mbwembwe nyingi mkiwa mnatongoza. Hujaomba vocha imetumwa, mara lunch, dinner kila siku. Ukikubaliwa umebadilika oooh na majukumu. Hayo majukumu yameanza lini? Kwanini hukuwa yourself tokea mwanzo? Kuweni wa kweli.
 
Hahah mkuu naona unampigia mbuzi gitaa ili asakate rumba.

Siku hizi kama wallet haisomi hawa warembo utabakia kuwaita mashemeji.

Naomba nikusalimu........

Mbona we waleti yako haisomeki na mimi sio Shemeji yako!!!!!!!!
 
Sasa si ni afadhali wanawaomba au mlitaka wakatafute kwa wanaume wengine?
 
Tatizo most of the girls wanaingia kwenye relationships with every intention ya kukuchuna...
 
You need to know how to productively handle your resources. Wanawake kila siku wapo na ukiona uliyenaye yuko hivo,elewa kuwa ni gold-digger, formula inasema hivi: Kula mzigo then kimbia mbio nyingi sana kabla malengo na mipango haijaharibika kwa sbb ya huyo mpuuzi,tafuta polepole anayekufaa ambaye sio mwizi na tapeli wa mjini.

hit_and_run_1522475.jpg
 
Back
Top Bottom