Wanawake LIVE kipo hewani..


Dah! Naona umekwenda mbali sana.
 
Watu mnapenda ushambenga hadi mmebadilisha maana ya topic. Hapa Joy a anapewa Hongera kwa kuweza kuonyesha wanawake wa vijijini wanavyoidhi. Mambo ya mme na ndoa yanahusikaje?

Umbea haulipi jamani. Mpenzi tu Hongera zake. Kweli huyu dada ni mwanamke wa Shoka.

Mwanaume ni majukumu na si suruali. Ndoa inaweza kuwa ilifungwa na kasisi lakini Haina baraka za Mungu.
 

Na wewe unaitwa Eliza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…