PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,821
Kweli nimeamini mapenzi hayana formula unakuta mwanamke yupo kwenye mahusiano na lijamaa ambalo ni likorofi na libabe ambalo halimjali wala kumpenda kwa dhati hapo hapo kuna mwanaume mpole na mkarimu ambae anahangaika kuuteka moyo wa huyo msichana lakin msichana bado anamkataa mwanaume mpole na kuendelea kung'ang'ania penzi la jamaa mkorofi
Wanawake wengine unakuta wapo kwenye mahusiano ambayo kila siku ni kipigo na unakuta mwingine kashapewa ulemavu kisa kipigo toka kwa jamaa mkorofi lakin bado mwanamke hataki kumuacha jamaa bado..eti nyie wanawake kwanini huwa mnaangukia kwenye mikono ya wanaume makauzu na wajeuri na kutuacha sisi wapole na tunaojua kucare?
Why women prefer bad boys to nice guys??
Wanawake wengine unakuta wapo kwenye mahusiano ambayo kila siku ni kipigo na unakuta mwingine kashapewa ulemavu kisa kipigo toka kwa jamaa mkorofi lakin bado mwanamke hataki kumuacha jamaa bado..eti nyie wanawake kwanini huwa mnaangukia kwenye mikono ya wanaume makauzu na wajeuri na kutuacha sisi wapole na tunaojua kucare?
Why women prefer bad boys to nice guys??