Eti hit and run. Now days wanaume wa ukweli wana hit,hit,hit and hiiiit atarun yeye. Kama huna ela piga kimya. Wenye nazo watatoa buana.
Kwanza sh ngapi?
Ndiooo. Au hujui??? Ndio nakupa hiyo
Kwa hiyo ni Kuhiiiiiiiiiiiiiiiiiiiit tu hadi ihitikeeeeeeee au sio...!! Ama kweli wasio na pesa wakomae na Tumbili...!!
Hiyo ni life style ya maisha yakowala sijazini....ninachosema ni kuwa nachukiaaaa...nachukia sana hawa kina dada kila wakati nipe hela sijui ya kusuka sijui ya kazi gani...sikupi hata shilingi..kwani ananipa nani mimi?..kila time wao ni ombaomba..ukuniomba hela nakupiga chini!!sisemi ni mchoyo kwani ombaomba nawatolea kiroho safi,michango ya mitaani nimo,ila kimtu kizima na miakili imejaa kichwanu mbona nikipe hela?..hela sio zawadi aisee!!.wenyewe tumechacharika sana kabla hatujapata wewe utokee utokako uanze kuombaomba?..hebu shika adabu zako jamani!!
Sindiyo hapo namshangaa tena hawa ndiyo waongaji wakubwaaa wanakuja huku nyoko nyoko nyoko hawana loloteee fyuuuuEti hit and run. Now days wanaume wa ukweli wana hit,hit,hit and hiiiit atarun yeye. Kama huna ela piga kimya. Wenye nazo watatoa buana.
Kwanza sh ngapi?
Sindiyo hapo namshangaa tena hawa ndiyo waongaji wakubwaaa wanakuja huku nyoko nyoko nyoko hawana loloteee fyuuuu
Mwanamme asiye honga hayupo , asiye toa huduma kwa mpenzie hayupo, asiye msaidia mpenziwe hayupo hiki kizazi cha sasa km ukibisha we jeuri
Ndiooo. Au hujui??? Ndio nakupa hiyo
mkuu
Mwanamke yeyote mwenye akili zake timamu hawezi kumwomba mwanamume pesa! Kwani huyo mwanamke ana ulemavu?
Mwanamke hawezi omba pesa kwa mwanamume!
Nikalale zangu hamna cha maana hapa wamehonga akina nyerere mtakuwa nyie wanaume suruali tena visoseji ( chips mayai ) [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mimi ni mwanamke!mkuu labda huyo tu kwako lakin wote kila ukiongea nae lazima neno pesa lihusike
Wendawazimu hao! Achana nao kabisa maana ni mizigo paseee! Itakusumbua tu! Mtu asiye jithamini ni hatari sana kwenye relationship maana input ni 0! RUN!labda ww ila wenzako sio poa wanaomba kama wanadai den
Wendawazimu hao! Achana nao kabisa maana ni mizigo paseee! Itakusumbua tu! Mtu asiye jithamini ni hatari sana kwenye relationship maana input ni 0! RUN!