Wanawake kuweni makini na wanaume hawa

Wanawake kuweni makini na wanaume hawa

KING HAM

Member
Joined
Nov 25, 2019
Posts
23
Reaction score
11
Habari wana jf mmu, mada kuna jamaa yangu anaishi na mjomba wake kwa muda sasa. Mjomba wake ni mtu wa wanawake sana yaani mwamba ni womanizer haswa sasa katika pita za mjomba kuna demu alitokea kumpenda sana sana.

Huyo demu alikiua amuelewi mjomba kamtesa sana mjomba sasa umepita muda kama mwaka yule demu amemcheki mjomba anamtoto asaivi kazalishwa amekuja geto kwa mjomba wake najamaa namtoto asa mjomba anataka amgonge yule kama kulipiza kisasi cha kuteswa nayule dem muda mrefu na ikumbukwe wanachumba kimoja na asaiv ni usiku jamaa kanipigia simu kunisimulia yeye haoni hatari kulala pamoja na shangazi yake 😂tatizo demu anajua sasa ataolewa na mjomba kumbe mjomba analipa kisasi TU ALAFU AMTIMUE
 
HIO SAFI SANA DAWA HAPO ANAKUA ANACHENJUA MABILINGANYA HUKU WAKINYOFOA LIDODO MPK MJOMBA WAKO ANAKUA ANALISHA UMOJA WA MATAIFA NA SIFA ZOTE ZINAKUA ZAKE HATA SHANGAZI MPK LILONGWE NI WENYEWE NA HALUA TUPU,USIDHANI HAIMSAIDII ILA NI VILE MAGAZIJUTO YANABANA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom