Mara nyingi tumezoea kuona kuna baadhi ya kazi huwa zinafanywa na wanaume pekee, kama vile umachinga, kupiga debe, kubeba zege, kuwa kondakta au hata ufundi magari, lakini siku hizi si kitu cha ajabu tena kukuta wanawake wakifanya kazi hizi kama vile mimi nilivyokutana na dada huyu akitembeza magazeti nami nikaona nimpe sapoti yangu kwa kumng'arisha apa jukwaani ili iwe changamoto kwa wengine ili wasibweteke tu nyumbani angali marejesho yanawasubiri bank.
Big up sana kwa mama huyu mtembeza magezeti hapa A town
Big up sana kwa mama huyu mtembeza magezeti hapa A town