😀😀😀😀 hicho ambacho hujaelewa ndiyo ulichoelewa JombaaaKuna cku bana tupo gym kaja mdada m1 na kispika chake ananukia vzuri, kuingia mule gym akakaa kwenye kibench anachezea cm zaid ya nusu saa then akashuka chin akachkua gar ake akasepa, skumwelewa kwakwel
Labda umlinde hapo kwako. Tupe jina la mkeo tukupe siri.Mke wangu Gym bila mimi ni sawa na gari bila matairi, hamjuia wanawake, hata kama ni mwema uki mu expose unampoteza.
Labda umlinde hapo kwako. Tupe jina la mkeo tukupe siri.
Matumizi mabaya ya nguvuHayo mazoezi wangefanyia shambani, tungekuwa na vyakula vingi sana vya kutosha
KugongwaShida Iko wap?
Mwili sio wako ww inakuuma nn?Kugongwa
Sweet mangi kashapona sasa hivi yuko normal. Mungu ni upendo na mkubwa aliweka kitu kusahau. Huoni Masanja sasa hivi karejea hali ya kawaida. Usifanye mchezo na KUGONGEWA weweCountrywide pitia hapa wewe cha ubishi unayenikataza nisiende gym 😂😂😂
Weee weee weeee acha kabisa usiseme hivyo. Piga picha tu ikichomoka anairudisha kwa KUCHOMEKA tena.Shida Iko wap
Mwili sio wako ww inakuuma nn?
Unaongea vitu gani?? Bangi sio nzuri kwa afya yakoSweet mangi kashapona sasa hivi yuko normal. Mungu ni upendo na mkubwa aliweka kitu kusahau. Huoni Masanja sasa hivi karejea hali ya kawaida. Usifanye mchezo na KUGONGEWA wewe
Kuna sisi ambao tunaanza kuimarisha afya tukiwa nyumbani halafu tukishanoga sasa😂😂😂ndio tunaenda zetu gym ku maintain.Kumekuwa na ongezeko la wanawake kwenda mazoezini(gym) bila hata ya waume zao(labda kutokana na u busy[emoji848][emoji119])Inasemekana huko mazoezini wanafaidi sana. kuimarisha afya[emoji12]Hongereni sana wanaume kwa kuona umuhimu wa mazoezi kwa wake zenu
Dah!umenikumbusha mbali nilikuwa naenda Ile gym coz ipo karibu na home mwaka 2014-2015Gym.
Wanawake gym ni way back ndugu yangu.
Hata maofisini wayback zipo session za gym.
Wanawake gym ni kawaidaaa sana. Nina miaka 20 naona wanawake wengi gym.
Mfano mdogo wakazi wa kimara pale baruti. Baha mamama sheli wayback gym ile ina jaza wanawake na mabinti. More than 20 yrs ya ile gym.