Da King'asti..ndio maana mimi nina filosofia ya 'mapenzi huisha', kwa sababu mbali mbali. Haijalishi ni sababu gani, iwe ya mume au mke au both...but it is a reason enough kumaliza mapenzi, na mapenzi yanapoisha ndio kunabaki kuvumilia na mazoea. Sasa hapo ndio tunapotofautiana...wengine wanaweza vumilia longer, wengine mazoea tu maisha yanaendelea..na wengine ndio hawawezi hiyo 'biashara'. Na kwa wasioweza hapo ndio inafuata kuflirt, kucheat, na kwa wasio wastaarabu even masengenyo, magomvi, na pengine mpaka kudhuriana mwili!
Sa kisa nini husubiri mpaka mfikie 'extreme'!? Ukiona mapenzi yameisha....chapa lapa! Kwani umezaliwa naye huyo!?