Wanawake kuchumbia Wanaume...

Wanawake kuchumbia Wanaume...

A4.

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
670
Reaction score
108
Lile pendekezo la Mmeru mmoja aliependekeza wakati wa ukusanyaji wa maoni ya katiba kuwa wanawake wapewe haki ya kuchumbia na kuoa wanaume kwann imetupiliwa mbali wakati ni njia mojawapo ya ku-empower women ili kuepuka yaliyo pitishwa na wabunge kenya kuwa mwanaume anaweza kuoa mke wa pili pasipo kumshirikisha mke mkubwa?
Pili, mwaka jana wanawake takribani 8,000 nchini nigeria waliandamana wakiitaka wizara ya jinsia kuwatafutia wanaume wa kuwaoa

Kwa sasa kati ya watoto watano wanaozaliwa, mmoja au wawili ndo wa kiume, ifikapo Tz kuwa na watu milion 60, c robo tatu watakuwa wanawake? Wanawake achaneni na mambo ya muungano wa serikal 2 au 3 daini haki ya kuoa.
 
575838_363228990454088_983251923_n.jpg
 
Na mahari atatoa mwanamke au mwanaume? Aisee mwanamke akilazimisha ndoa kwa mwanaume huwa ni tabu sana na mara nyingi haifiki mbali,labda ziwe ndoa za mkataba.
 
Hahaha, eti nimeolewa na mke wangu, thats sounds bitter.
 
Hapo ndio itakuwa haki sawa na pia wanawake wataacha kuringaringa, maana unamtongoza mtu anaringa kama unaomba mkopo benki!
 
why all men want this V too! why men are ready to buy this too! CAN'T TURN NATURE TOO!
 
Nikishakuoa nakuita mke au mume?

Mke ni mwenye jinsia ya kike na mme ni mwenye jinsia ya kiume,,,, Haya maneno hayategemei kipato, nani aliyeoa/olewa, wala nani mwenye nguvu kwenye familia.

Mwanamke hata akiwa ana hela, nguvu, elimu au chochote kikubwa kumzidi mwanaume, hawawezi change majina.
 
Mke ni mwenye jinsia ya kike na mme ni mwenye jinsia ya kiume,,,, Haya maneno hayategemei kipato, nani aliyeoa/olewa, wala nani mwenye nguvu kwenye familia.

Mwanamke hata akiwa ana hela, nguvu, elimu au chochote kikubwa kumzidi mwanaume, hawawezi change majina.
usikariri mwenzangu dunia imebadilika! Cyo mke lazma awe na jinsia ya kike kumbuka kuna wale Ant-museven
 
Back
Top Bottom