Wanawake kaa ukijua...

Yote kayataka Nyerere

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mfupi ila wanaume wafupi ni shida huwezi ishi naye.
Anavisheria vitakavyotesa nakuuwa familia kwa presha.

Hehehehe🤣 mtaishi wenyewe kwa taarifa yenu au mtafute wanawake wa kijijin huko ambao wanajua kunyenyekea wanaume wanaeza wakamlamba mwanaume miguu ila kwa sisi ambao tulishafunguka akili aisee hapana sio kwa sayar hii..#itakataa[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…