- Thread starter
- #21
Chupi tunajua kila mtu anayo na wengi wanazivaa. At least mke atoke hata ukimuambia atangulie hatua mbili ili uangalie bambataa. Sasa ndani ya kitenge tena chenye waya utaona nini?Subiri tuanze uvaa vichupi sasa
Chupi tunajua kila mtu anayo na wengi wanazivaa. At least mke atoke hata ukimuambia atangulie hatua mbili ili uangalie bambataa. Sasa ndani ya kitenge tena chenye waya utaona nini?Subiri tuanze uvaa vichupi sasa
Mkuu umemtoa bwana zambi?Naomba huyo mke anaevaa kitenge na kilemba.. Nimempenda sana.. Alafu na huo wivu yani mapenzi ndio yananoga
Sasa wewe mke wakwako alafu unataka umuone tena magoti mkitokaWewe ndio walewale mnaochungulia wake zenu wakioga
Napata mashaka sana, kumbe unajua chupi kila mtu anayo, basi kama unataka abadilike anza kumbadilisha wewe mumewe, nunua nguo unazoa zitamtosha kulingana na mwili wake.Chupi tunajua kila mtu anayo na wengi wanazivaa. At least mke atoke hata ukimuambia atangulie hatua mbili ili uangalie bambataa. Sasa ndani ya kitenge tena chenye waya utaona nini?
Haaaa haaaa haaa dah haya bhanaBora wa kwako anavaa vitenge na kirembe kuna wa broo wangu ye anakupigia kitenge, remba na pochi ina ka bible kale kadogo ka rangi ya bluu kameandikwa misale sijui ya nini vile


daah kila kitu lazima wasingizie walevi tumekiropoka
@KENZY
Kwanini wamshambulia MLEVi Mmoja? Amekukosea nini hasa
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app



eti na kitenge juu..Utakae muoa atapata kitu chema.Muache ajistiri apendavyo ndugu yangu, huyo ni mke wako tu. Ukipenda sana aendane na mazingira ya out, ipo siku utalia.
Ridhika na uamini kuwa hakuna mwanamke mzuri zaidi ya mkeo. Au wakati wa kujiandaa kama nguo zipo nyingi ingia naye mchagulie wewe tena kwa kimahaba zaidi!
Usipende mkeo awe na muonekano wa kikahaba. Acha ajitofautishe.
Mimi naamini hata wanaoenda bar, akiingia mke wa mtu wanajua na akiingia malaya /au kahaba wanajua mabaharia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naamini hata wanaoenda bar, akiingia mke wa mtu wanajua na akiingia malaya /au kahaba wanajua mabaharia.
Naanza kuamini ile kauli ya Wanaume tunazidi kupungua kila siku.Haki ya nani penye miti hakuna wajenzi,yaani huyu bwege kabahatisha mke Safi ,anakuja kumfungulia uzi wa masimango huku? *****