Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Aiseee ya kweli hayo hapo kwenye boldI think mnatusemaga wadada tukifikisha 30 hatujaolewa,na nyie mkifikisha 40 hamjaolewa mnaanza kupanic....
Aiseee ya kweli hayo hapo kwenye boldI think mnatusemaga wadada tukifikisha 30 hatujaolewa,na nyie mkifikisha 40 hamjaolewa mnaanza kupanic....
Unaandika neno mke/ mchumba kwenda kwenye namba hiyo hapo juu unapigiwa fastaanatukanyagia waya tu hapa
Halafu anadai eti mbona hammuelewi!
Aiseee ya kweli hayo hapo kwenye bold
Anhaa huyo hajafika hiyo miaka unayosema anataka wa kugegeda tu si anajua huku wako wengi kuliko mtaani anakoishi au anafikiri wa huku ni watamu kuliko wakina asha na mwajuma anaoishi nao mtaani kwakeI mean hamjaoa bwana lol
naitaji mke jamani 0716284572
naitaji mke jamani 0716284572
Kirahisi tu hivo unfuta mke utadhan unatafuta kuku wako kapotea....
UmeniKumbusha Mzee wangu mmoja wa church aliwahi kuniuliza kuhusu kuoa
Nikamwambia hata mchumba sina
Akaniambia we umekaa tu hapo unasubiri wakufuateee
lol
mshirikishe Mungu atakupa kwa wakati unaofaa.....