wanawake jamani mbona hamnielewi?

wanawake jamani mbona hamnielewi?

mshirikishe Mungu atakupa kwa wakati unaofaa.....
 
usimcheke mwenzio........wanasemaga wadada tuna kazi kutafuta waume.....kumbe hata wanaume nao wana kazi ya kutafuta mke mwema......
Ndo kutafuta gani huko? si awafutuate huko njiani yeye anaacha namba ya simu anafikiri wanawake wana shida ya kuolewa kiasi hicho? hata changudoa mwenyewe hampigii
 
I think mnatusemaga wadada tukifikisha 30 hatujaolewa tunapanic na nyie mkifikisha 40 hamjaoa mnaanza kupanic....
 
Ndo kutafuta gani huko? si awafutuate huko njiani yeye anaacha namba ya simu anafikiri wanawake wana shida ya kuolewa kiasi hicho? hata changudoa mwenyewe hampigii

mpe mbinu basi inawezekana hana mbinu ambazo mwanamke hawezi mchomolea.....
 
Kirahisi tu hivo unfuta mke utadhan unatafuta kuku wako kapotea....
 
Tufanye deal.nikikutafutia wawili m1 wa kwangu...
 
hahahaa kwani wewe ndo unatafuta
Ndio hata mimi natafuta ila naona style ya kuacha namba ya simu inalipa, unatuma neno mchumba/mke kwenda 0717......... utapigiwa mara moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom