kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,299
- 6,102
- Thread starter
-
- #21
Daaaaah madini tupu. Ngoja waje kusomaAisee me huwa nasema bora mwanamke ambaye hajasoma anakuwa na asilimia kubwa ya possibilities za kupata mume na kuolewa na kuishi maisha ya ndoa bila shida sababu ameshajitoa....
Ila hawa wanawake waliopata cheti cha chuo aisee ni takataka sijawahi kuona na ndio wanaoongoza kwa akili bange......
Ubishi, ujuaji, viburi, kupiga vibomu, kuliwa na wanaume nane kwa wakati m'moja ni kawaida, na wanaongoza kwa kuwa desperate na kuzaa zaa hovyo kama mbwa na kila mwanaume wanaempanulia mapaja....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu mke wangu ana Master's yupo Home tu ananipikia ugaliWameshasoma na bado wanatumika tena kimasihara. Au unaongelea kusoma kupi??
Uislam gani hauruhusu??Huyo anafata dini gani maana uislamu hauruhusu kusex nao kwenye chumba kimoja 3 some
Haaaahaaaaa
Weeeeee sifanyi ujinga huo kama sio kumtoa MTU koromeo nini?Kwenye kipindi cha "Leo Tena" clouds dr Mwaka kasema kwamba kuna mda analala na wake zake wote chumba kimoja.
Wake zake wameonesha kupendana kweli japo kwa kawaida wake wenza huwa wana visa vya mara kwa mara. Wake hao wameonekana wakicheza studio na kukumbatiana kisha kumbusu mme wao (dr Mwaka).
Jamani wanawake msiwe mnachukia tunapowaongezea wenza bali mfurahie na hata ikibidi muwe kabisa mnatushauri tuwaongezee yupi
~Peace
Kali Linux
wapi imekataza kulala nao pamoja ,tupe nukuu.Threesome au foursome????
Wanawake someni.....fanyeni kazi au biashara msiende kutumika hivi
Dini take imemruhusu kuoa 4 lakini sio kulala nao chumba kimoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Reasoning capacity ya mleta mada na baadhi ya watanzania ni ugoro kichwani wewe unawaona hao wanawake wana timamu kichwani?Kwenye kipindi cha "Leo Tena" clouds dr Mwaka kasema kwamba kuna mda analala na wake zake wote chumba kimoja.
Wake zake wameonesha kupendana kweli japo kwa kawaida wake wenza huwa wana visa vya mara kwa mara. Wake hao wameonekana wakicheza studio na kukumbatiana kisha kumbusu mme wao (dr Mwaka).
Jamani wanawake msiwe mnachukia tunapowaongezea wenza bali mfurahie na hata ikibidi muwe kabisa mnatushauri tuwaongezee yupi
~Peace
Kali Linux
Ndiyo, ushahidi ninao. Sikusoma dini kwenye mitandao. Rudi madrada na masjidUislam gani hauruhusu??
Una ushahidi au unabwabwaja tu.
Ukitaka kuijua Tabia ya mkeo filisika .mwisho wa kunukuuuu .Reasoning capacity ya mleta mada na baadhi ya watanzania ni ugoro kichwani wewe unawaona hao wanawake wana timamu kichwani?
Hapo wamempendea pesa tu na isitoshe anawasaidia Matatizo yao ya uzazi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee me huwa nasema bora mwanamke ambaye hajasoma anakuwa na asilimia kubwa ya possibilities za kupata mume na kuolewa na kuishi maisha ya ndoa bila shida sababu ameshajitoa....
Ila hawa wanawake waliopata cheti cha chuo aisee ni takataka sijawahi kuona na ndio wanaoongoza kwa akili bange......
Ubishi, ujuaji, viburi, kupiga vibomu, kuliwa na wanaume nane kwa wakati m'moja ni kawaida, na wanaongoza kwa kuwa desperate na kuzaa zaa hovyo kama mbwa na kila mwanaume wanaempanulia mapaja....
Sent using Jamii Forums mobile app
Dr mwaka hana tofauti na wajanja janja wa mjini tu.Ukitaka kuijua Tabia ya mkeo filisika .mwisho wa kunukuuuu .