Wanawake huwa tunatamani nini hasa kwa wanaume?

Wanawake huwa tunatamani nini hasa kwa wanaume?

Mehek

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2017
Posts
7,473
Reaction score
10,429
.........wanaume wengi wao japo siyo wote hupenda kuangalia/kushangaa wadada wenye makalio makubwaa .....wengine wanashangaa yansishia hapo hapo wengine wanatamanii kuwa na na mwanamke wa hivyooo n.k....... Kila mtu kaumbiwa matamanio..... Je kwa upande wetu sisi Madada huwa tunamtamani/ kushangaa mwanamme wa aje kila mtu ana kitu chake anachopenda mwenza wake awe nachoo je sisi wadada huwa tunatamani nini???.

Nianze na mimi......
....Huwa napenda sana mwanamme mwenye kifua kipana kilicho jengeka vizuuuri na kama nikibahatika kuongea nae angalao sauti iwe nzitooo......

[emoji85] [emoji125]
 
.........wanaume wengi wao japo siyo wote hupenda kuangalia/kushangaa wadada wenye makalio makubwaa .....wengine wanashangaa yansishia hapo hapo wengine wanatamanii kuwa na na mwanamke wa hivyooo n.k....... Kila mtu kaumbiwa matamanio..... Je kwaupande wetu sisi Madada huwa tunamtamani/ kushangaa mwanamme wa aje kila mtu anakitu chake anachopenda mwenza wake awe nachoo je sisi wadada huwa tunatamani non???.

Nianze na mimi......
....Huwa napenda sana mwanamme mwenye kifua kipana kilicho jengeka vizuuuri na kama nikibahatika kuongea nae angalao sauti iwe nzitooo......

[emoji85] [emoji125]
Hela hupendi?
 
4b595fa370aa4a218f7fdc7c877c6d31.jpg
 
mimi naangaliaga pembeni au nafunga macho nikikutana nao.vibamia vitupu .wana roho mbaya kuliko shetani.siangalii mashetani mimi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wakina nani wenye roho mbayaaa mmmh
 
Tumepokea tusi lako tunalifanyia kazi.

Kama msemaji wa wanaume nasema if you think you have freedom not to zet eksitent.
Babu ndiyo lugha gani hii
 
Back
Top Bottom