Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,919
- 8,609
Pamoja na meseji zote hizo kiukweli nimepigwa na butwaa sijajibu meseji hata moja. Nashangaa tu imekuaje au siku hizi m-pesa ukituma pesa Wana huduma ya kukutongozea kabisa
Hii huduma walianza mda mrefu sana...
Hao mademu wa michongo wanakusogeza taratibu,, utaitwa itwa majina mazuri halafu baadae ukijaa wanakulipua mzinga mmoja Dunia nzima