Wanawake hili linawahusu

Wanawake hili linawahusu

KUDOLE CHA MWISHO

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2017
Posts
407
Reaction score
896
Habari wakuu!!

Wanawake wote mkifanya hv! Sisi wanaume hatutachepuka hata siku moja!!

Mwanamke!! Ukitaka mwanaume wako asichepuke! Basi fanya hayaa

1. Usijisahau! Sio baada ya kuolewaaa unajiweka ovyo ovyooo kuwa msafi kama mwanzo kabla hamjaowana

2. Ukiwa Mp hakikisha Mumeo asione damu!

3. Kuwa na aibu kwa Mume wako! Acha kuwa kama kibaka

4. Hakikisha unakuwa msafi sanaa (wa kila sector

5. Usivae ovyoo , kuwa smart hata kama mkiwa ndan!

6. Embu mfanye Mume wako kama mgeni ( weka mazingira safi)

7. Fanya kama mchepukooo

8.

9.


Wanawake mkifanya hv mtanikumbukaaa

Sio mwanamke unajisahau

Afu mnatulaumu eti sisi haturiziki!! Hakuna mtu anayerizika na vitu vya ovyo ovyoooo
 
Subiria kwanza, bado wanajiandaa na mtoko wa Weekend.
Watakuja baadae ku-comment
 
Ukishaona Mwanaume anamlalamikia na kumsukumizia Mwanamke matatizo ujue huyo siyo real man, real man hategemei kufanyiwa na kuhudumiwa na Mwanamke kama mtoto, sasa akufanyie hayo yote na mtoto wake amfanyie nini? Na atakuwa na watoto wangapi wa kujali kama na wewe ni mtoto pia?
 
Ukishaona Mwanaume anamlalamikia na kumsukumizia Mwanamke matatizo ujue huyo siyo real man, real man hategemei kufanyiwa na kuhudumiwa na Mwanamke kama mtoto, sasa akufanyie hayo yote na mtoto wake amfanyie nini? Na atakuwa na watoto wangapi wa kujali kama na wewe ni mtoto pia?
Hili jiwe limekupata mkuu
 
Hapana, kwa nini? Niko real tu, kwamba usiingie kwenye Mahusiano ukitegemea kuhudumiwa, wewe siyo mtoto mdogo, kumbuka hata huyo Mwanamke naye ana mahitaji pia.
Samahani mkuu kama nimekupata nisameheee sijajua kama upo gizan
 
Hapana, kwa nini? Niko real tu, kwamba usiingie kwenye Mahusiano ukitegemea kuhudumiwa, wewe siyo mtoto mdogo, kumbuka hata huyo Mwanamke naye ana mahitaji pia.
unavosema mwanaume asitegemee kuhudumiwa, unazingumzia huduma kama zipi ambazo asitegemee?
 
Back
Top Bottom