mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 4,287
- 9,162
Kila ninae mtongoza huniambia we mkaka tafuta tu hela ya room ukanile bure gharama juu yangu
Je kuna mwanaume aliekutana na maneno kama haya kutoka kwa wanawake wa kizazi hiki?
maana sio kawaida juzi kunadada nimemtumia hela kaniuliza kipenzi umenitumia hela, wewe mwenyewe utatumia nini akaniludishia muamala nikaamua nimnunulie maua ndio akapokea
Je kuna mwanaume aliekutana na maneno kama haya kutoka kwa wanawake wa kizazi hiki?
maana sio kawaida juzi kunadada nimemtumia hela kaniuliza kipenzi umenitumia hela, wewe mwenyewe utatumia nini akaniludishia muamala nikaamua nimnunulie maua ndio akapokea