Wanawake hawaniombi hela wananionea huruma

Wanawake hawaniombi hela wananionea huruma

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
4,287
Reaction score
9,162
Kila ninae mtongoza huniambia we mkaka tafuta tu hela ya room ukanile bure gharama juu yangu

Je kuna mwanaume aliekutana na maneno kama haya kutoka kwa wanawake wa kizazi hiki?

maana sio kawaida juzi kunadada nimemtumia hela kaniuliza kipenzi umenitumia hela, wewe mwenyewe utatumia nini akaniludishia muamala nikaamua nimnunulie maua ndio akapokea
 
Una nyota ya UKIMWI bwashee
Screenshot_2026-06-28_143400.jpg
 
Kila ninae mtongoza huniambia we mkaka tafuta tu hela ya room ukanile bure gharama juu yangu

Je kuna mwanaume aliekutana na maneno kama haya kutoka kwa wanawake wa kizazi hiki?

maana sio kawaida juzi kunadada nimemtumia hela kaniuliza kipenzi umenitumia hela, wewe mwenyewe utatumia nini akaniludishia muamala nikaamua nimnunulie maua ndio akapokea
Umeanza kuota ndoto mapema sana.
 
Kila ninae mtongoza huniambia we mkaka tafuta tu hela ya room ukanile bure gharama juu yangu

Je kuna mwanaume aliekutana na maneno kama haya kutoka kwa wanawake wa kizazi hiki?

maana sio kawaida juzi kunadada nimemtumia hela kaniuliza kipenzi umenitumia hela, wewe mwenyewe utatumia nini akaniludishia muamala nikaamua nimnunulie maua ndio akapokea
Chai
 
Kila ninae mtongoza huniambia we mkaka tafuta tu hela ya room ukanile bure gharama juu yangu

Je kuna mwanaume aliekutana na maneno kama haya kutoka kwa wanawake wa kizazi hiki?

maana sio kawaida juzi kunadada nimemtumia hela kaniuliza kipenzi umenitumia hela, wewe mwenyewe utatumia nini akaniludishia muamala nikaamua nimnunulie maua ndio akapokea
Huruma gani? Hata kama ng'ombe amekonda wanakamua hadi kutoa damu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom