Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
Asikudanganye mtu...kuacha simu yako huru ni njia nzuri sana ya kuiba na kuibiwa! Mtu akiacha hivyo unadhani hana cha kuficha...kwahiyo hata kumfuatilia huoni haja kumbe unachezewa akili!!Sasa na JF ntachungulia saa ngapi kama muda wote niko na pilikapilika na simu nimeweka chini ya mto??