.
What do you Mean , HOW did you prove it, the only way to prove is to use, after proving not used its no more unused. Do not cheat us, or did you test with your fingers? Its not that i do not believe, but dont tell us you have proved it, What search!! You mean by asking them or test them? how to test them!! do you mean by use them? Been used or unused its so personal, no body can tell you she is used or not, some they even cheat this when confessing to the church. Witnessing with your eyes, what do you mean? they have shown to you there things that they are not used?
so you told us not disturb them, because you did it and prove, so you what only yourself to enjoy them?
PM you for what? put every thing open so everybody can read, what is so secret in this?
Mkuu calm down!
Ujumbe wangu ni kuwa hawa watu wanajitunza tofauti na vijana wengi wanavyofikiria na kuwashambulia.....Mwisho wa siku kama ametumika basi aliyemtumia atakuwa ni mmoja kati ya hao ambao wanawadhihaki wengine waliotumika...
So better stop disturbing them on this issue!
Nadhani hapa wengi watakuwa wamenielewa.
Kwa mujibu wa picha uliyoweka kwenye profile nadhani nyie ndio wale wajaribuo kila siku mpaka wawapate. Fine wapo lakini very rare ana wakikutana na mabandidu ndio end yao.
<br />Year 3.
Nahisi kama hii thread inajidhalilisha au kumdhalilisha mwanzishaji wake. Inaonyesha ni kiasi gani thinking capacity iko low. Pole kama nimekutusi
neno "kutumika" katika hii thread linamaanisha nini?
Bado sijakuelewa unamaanisha nini manake naona umezunguka bila maudhui fasaha ya hii paragraph yakoAnayetaka kujua nimejuaje basi ani-PM lakini amini nawaambieni nimeshuhudia mwenyewe kwa "macho" yangu na si kuhadithiwa.
Ni kweli wapo tena wengi tu, mi mwenyewe sikuamini lakini ukweli ndo huo.
Hivyo wale wote ambao huwa wanawaghasi hawa wenzetu kwa mawazo ambayo ni kinyume na hiki nilichoshuhudia mimi, waache mara moja.
Nasisitiza wapo, wapo, wapo....., tena wengi tu. Ukiamua ku-search huwezi kosa. Cha muhimu ni kuepuka papara, kuwa na subira, nia njema, busara na nidhamu ya hali ya juu.
Note:
Nime-confirm mwenyewe kuwa sio "temporarily renewed".
<br />Namaanisha WANAOJITUNZA tofauti na watu wengi wanavyofikiria.
wacha mawazo mgando wewe! kitu gani cha ajabu hapo? usitafute umaarufu wa bure kijana, tafakari kwanza aagh!Hizi lugha zingine zinadhalilisha wadada....
Umnamaanisha wewe? Lakini inaonekana unawatusi hawa watu? Nakuomba uache kujumuisha watu wote kama hivi maana unawaboa watu na unaonesha kwa namna gani haujakomaa katika nyanja zote. A full control of what comes out of your mouth is important,tafadhali anza mazoezi ,utafanikiwa. Juhudi njema.wanyaturu kwa kutafuta vi cheap populality
huu uzi mkuu ungesubiri huu mwezi uishe ndo ungeuandika..
wacha mawazo mgando wewe! kitu gani cha ajabu hapo? usitafute umaarufu wa bure kijana, tafakari kwanza aagh!
Hicho chuo umekianzisha wewe au? Acha stor za juma na uledi buddy! C lazima uanzishe thread ka huna hoja kalale!