comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 2,732
- 2,477
- Thread starter
- #41
nakuja PM tuongee vizuriKwahiyo ukitaka kwenda kupiga misele town unaombaga ruhusa kwa nani?
nakuja PM tuongee vizuriKwahiyo ukitaka kwenda kupiga misele town unaombaga ruhusa kwa nani?
mojawapo kugawa mbunye ovyo (kudanga)kama zipi ?
tumeona wengi mno waliokuwa makahaba waka change hakuna guarantee ya kufanya ujingahaimaanishi kuibadilisha kama unavyofikiria wewe
sio kwamba ameacha ukahaba, ila ameacha ukahaba machoni pa watu, usiamini kila unachokionatumeona wengi mno waliokuwa makahaba waka change hakuna guarantee ya kufanya ujinga
aseeeee ni tatizo kubwa hilomojawapo kugawa mbunye ovyo (kudanga)
wewe umejuaje kama ameacha machoni tu?sio kwamba ameacha ukahaba, ila ameacha ukahaba machoni pa watu, usiamini kila unachokiona
Duhndio, huko kwenu Hamjasikia kwenye redio nini
acha maswaliwewe umejuaje kama ameacha machoni tu?
Mtoamimi ndimi.
mbele ya upeo ya macho yenu.
ebbana wakina dada ambao hamjaolewa najua mnakuaga na stress sana, ukiangalia umri unakimbia kama mwendokasi, yani jua ndio linazama, lakini msife moyo, atajitokeza tuu wa kukuoa one day, no matter how !, No matter what !
aseee ! ninayaongea haya nikiwa nina uthibisho mazeee !
leo bana katika pitapita zangu FB nimefumania picha za harusi ya EX wangu et nae kapata mume, duuuuh !!, alikua mfano wa mwanamke dunga embe, yani bonge la pasua kichwa mwenye tabia chafu kabisa, lakini nashangaa tayar kashapata boya wake nae kamkamata, na sasa ni mke wa mtu.
asee! ila jamaa aliemuoa yule manzi namuonea huruma sana, ni Kama amekumbatia bomu linahesabu tuu sekunde linasubiri mda ufike lilipuke maseee !
aseee ! hatawewe ambae hujaolewa usiwaze, haijalishi upo vipi au unatabia gani, uwe singo maza hata unawatoto watano, usijali ipo siku tuu na wewe utapata boya wako utamkamata atakuoa tuu.
NAKIPUMULIA KIPAZA !
ausiowamekupata.
NdioKwamba utawaoa ww au??
Yaani huu Uzi umeonesha ni jinsi gani moyo wako umekuuma kwa x wako kuolewa na inaonekana ww ndo ulikuw na matatizo kwa sababu ulishindwa kutumia uanaume wako kumfanya akawa vile unataka awe..Pole mkuu kunywa maji upunguze munkarimimi ndimi.
mbele ya upeo ya macho yenu.
ebbana wakina dada ambao hamjaolewa najua mnakuaga na stress sana, ukiangalia umri unakimbia kama mwendokasi, yani jua ndio linazama, lakini msife moyo, atajitokeza tuu wa kukuoa one day, no matter how !, No matter what !
aseee ! ninayaongea haya nikiwa nina uthibisho mazeee !
leo bana katika pitapita zangu FB nimefumania picha za harusi ya EX wangu et nae kapata mume, duuuuh !!, alikua mfano wa mwanamke dunga embe, yani bonge la pasua kichwa mwenye tabia chafu kabisa, lakini nashangaa tayar kashapata boya wake nae kamkamata, na sasa ni mke wa mtu.
asee! ila jamaa aliemuoa yule manzi namuonea huruma sana, ni Kama amekumbatia bomu linahesabu tuu sekunde linasubiri mda ufike lilipuke maseee !
aseee ! hatawewe ambae hujaolewa usiwaze, haijalishi upo vipi au unatabia gani, uwe singo maza hata unawatoto watano, usijali ipo siku tuu na wewe utapata boya wako utamkamata atakuoa tuu.
NAKIPUMULIA KIPAZA !
usikute kashabadirika mtu yukogo dynamic jayuko static kama culture.
Mimi mawazo yangu yapo mrengo wa kushoto, wewe umewaza katika mrengo wa kulia, sio mbaya kuwaza tofautiYaani huu Uzi umeonesha ni jinsi gani moyo wako umekuuma kwa x wako kuolewa na inaonekana ww ndo ulikuw na matatizo kwa sababu ulishindwa kutumia uanaume wako kumfanya akawa vile unataka awe..Pole mkuu kunywa maji upunguze munkari
Watu kama nyie ni ngumu sana kuelewa mambo mapya, maana unajijibu mwenyewe kwamba unachokiamini ndicho hata kama sichoAfu mtoa mada haelewi mwenye yeye ndo angetakiwa kumbadilisha sasa anasubir mwenzie kachukua jiko anakuja kulialia