comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 2,732
- 2,477
- Thread starter
- #21
okKwa vile wanaume ndio wanao hitaji ndoa kuliko wanawake....tutajitahidi tusikate tamaa.
okKwa vile wanaume ndio wanao hitaji ndoa kuliko wanawake....tutajitahidi tusikate tamaa.
Utajiwaje uenda mwanaume nayeye ni bomu, bomu kwa bomu zitapasuawana sijui matokeo yake yatakua vip
wewe ni mwanamke, sio ?Kwa vile wanaume ndio wanao hitaji ndoa kuliko wanawake....tutajitahidi tusikate tamaa.
never, tabia ni kama rangi ya ngoziusikute kashabadirika mtu yukogo dynamic jayuko static kama culture.
wewe ni mwanamke, sio ?
unaonaje nikaja kuranda randa katika viunga vya PM yakoSiku zote ndio
Nani kakudanganya ngozi haibadiriki?never, tabia ni kama rangi ya ngozi
unaonaje nikaja kuranda randa katika viunga vya PM yako
Subiria kidogo nitaanza.....
haimaanishi kuibadilisha kama unavyofikiria weweNani kakudanganya ngozi haibadiriki?
duh ! yani kupiga misele katika viunga vya PMKuranda randa? mbona sina mbao sasa
kama zipi ?Usiwadanganye wenzako mkuu. Wataolewaje wakati sababu zinazopelekea wasiolewe bado wanazo????
ausioBoya wako nae kakumbatia bomu linalohesabu sekunde lilipuke haki nakuambia. Ndege wa aina moja huruka pamoja.
ndio hivyoMbona mama Diamond kaolewa? Wavute subira tu nao siku yao inakuja. One day YES.
duh ! yani kupiga misele katika viunga vya PM
ndio, huko kwenu Hamjasikia kwenye redio niniKuolewa ni ajira sikuhizi?